Pussy Riot Protest

Pussy Riot Protest

Unajua kabisa maaskari wengi wameishia elimu ya.... Lazima wakuhisi vibaya.

Hahaha hapo sasa afrodenzi ndiye atakayebaki na msala manake anaweza kupewa kimemo kuwa anaitwa ofisini kwa igp kwenda kutoa maelezo. Ila wewe si umesema utakuwa unapiga gitaa?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa. Yes my sister. Wanakuona mwehu. Tena hawachelewi kukupa bomu la tumbo. LOL!

halafu na visingizio debe... we ulikuwa uchi wa mnyama unaimba zako.. huna kitu mwilini
lakini watakuja na uongo "ulikuwa na pisto" kwenye mfuko wa suruali na wakati we ulikuwa uchi..
mapolisi wa Bongo bana.......
 
halafu na visingizio debe... we ulikuwa uchi wa mnyama unaimba zako.. huna kitu mwilini
lakini watakuja na uongo "ulikuwa na pisto" kwenye mfuko wa suruali na wakati we ulikuwa uchi..
mapolisi wa Bongo bana.......

Hahahaaaa wana visingizio vya kibabe sana .
 
Hahaha hapo sasa afrodenzi ndiye atakayebaki na msala manake anaweza kupewa kimemo kuwa anaitwa ofisini kwa igp kwenda kutoa maelezo. Ila wewe si umesema utakuwa unapiga gitaa?

Yeah, mimi guitar langu nitaandika 'free P'' maana kuandika neno lote watahisi vibaya. Si unajua wabongo hawachelewi?
 
Last edited by a moderator:
halafu na visingizio debe... we ulikuwa uchi wa mnyama unaimba zako.. huna kitu mwilini
lakini watakuja na uongo "ulikuwa na pisto" kwenye mfuko wa suruali na wakati we ulikuwa uchi..
mapolisi wa Bongo bana.......

hahahahaaa. Eti ulikuwa ni Pisto mfukoni.
Mh! Kali ya mwaka.
 
Huku kwetu mara mtu katolewa meno na koleo , mara wamempiga risasi muuza magazeti sijui msoma magazeeti. Ila ndio hivyo wenzetu ni wakorofi ila hadi wakuue ni issue sana watakuweka ndani tu. Wale wangekuwa bongo ungesikia mengine ama wangepigwa mabomu ya matumbo

unatolewa meno na koleo dahhh adhabu nyingine hata ma serial killer hawapewi.
Kwa wenzetu at list serikali yao inafuata sheria, hapa kwetu ni sheria mkononi.

na jaribu kufikiria ingelikuwa ni wasicha wa kibongo wameenda kuimba hivyo
mbele ya ikulu "nyumbani kwa baba Asha"mmmhh
 
Yeah, mimi guitar langu nitaandika 'free P'' maana kuandika neno lote watahisi vibaya. Si unajua wabongo hawachelewi?

Wewe hata uandike free pussy unafikiri watakuwa na time na wewe basi? Ila mdada akiandika ndio balaa si unajua elimu ya askari wetu
 
Nimefurahi kuona bands zangu nyingi ninazozipenda zimewatetea. Nasikia member wa band waliobaki wamekimbia Russia kwa usalama wao maana nao wanaweza kugeuziwa kipigo.
 
Wewe hata uandike free pussy unafikiri watakuwa na time na wewe basi? Ila mdada akiandika ndio balaa si unajua elimu ya askari wetu

Tena kama ni mdada watamuita kituoni then watamuuliza ni kweli ile ni ''free'' au alikuwa anatania! Lol
 
unatolewa meno na koleo dahhh adhabu nyingine hata ma serial killer hawapewi.
Kwa wenzetu at list serikali yao inafuata sheria, hapa kwetu ni sheria mkononi.

na jaribu kufikiria ingelikuwa ni wasicha wa kibongo wameenda kuimba hivyo
mbele ya ikulu "nyumbani kwa baba Asha"mmmhh

Ungesikia wapo segerea kesi yao itasomwa 2016.. Watakachofanyiwa huko segerea wangejua wenyewe
 
Google utapata fully story. In short waliingilia siasa na kwenda ku perform kwenye kanisa la orthodox la kina Putin hili ni kosa kubwa sana kwa sheria zao. Kumbuka issue yoyote ikishagusa siasa hata kama wewe huna kosa ila hutatoka kirahisi.

Unapoanza kusema kuwa "waliingilia siasa" unaanza kutoa mwanya kuwa haki ya kuzungumzia siasa ni ya watu wachache.

Hilo sio tu kuwa ni ukiukaji wa haki za uhuru wa kujieleza, ni katika kukubali kutekelezwa kwa sheria kandamizi za nchi, kwa sababu tu sheria hizo zipo


Marekani kulikuwa na sheria ambazo zinatenganisha watu kwa rangi ya ngozi yao. Jee wale kina Rosa Parks waliopinga sheria hizo kandamizi walikosea sana kwa sababu sheria zilikuwa haziruhusu hilo?

Na Said Mwema na wenziwe wanapopiga wananchi kwa sababu "mikutano haijapewa kibali" ni halali kwa sababu ni kosa kubwa kwa sheria ya nchi?
 
Nimefurahi kuona bands zangu nyingi ninazozipenda zimewatetea. Nasikia member wa band waliobaki wamekimbia Russia kwa usalama wao maana nao wanaweza kugeuziwa kipigo.

Offcourse wangepotezwa
 
Nimefurahi kuona bands zangu nyingi ninazozipenda zimewatetea. Nasikia member wa band waliobaki wamekimbia Russia kwa usalama wao maana nao wanaweza kugeuziwa kipigo.

yap kina Paul McCartney, Madonna and Bjork wameomba Pussy riot waachiwe....
this thing is world wide ..
 
Unapoanza kusema kuwa "waliingilia siasa" unaanza kutoa mwanya kuwa haki ya kuzungumzia siasa ni ya watu wachache.

Hilo sio tu kuwa ni ukiukaji wa haki za uhuru wa kujieleza, ni katika kukubali kutekelezwa kwa sheria kandamizi za nchi, kwa sababu tu sheria hizo zipo


Marekani kulikuwa na sheria ambazo zinatenganisha watu kwa rangi ya ngozi yao. Jee wale kina Rosa Parks waliopinga sheria hizo kandamizi walikosea sana kwa sababu sheria zilikuwa haziruhusu hilo?

Na Said Mwema na wenziwe wanapopiga wananchi kwa sababu "mikutano haijapewa kibali" ni halali kwa sababu ni kosa kubwa kwa sheria ya nchi?

Gaijin nchi kama urusi inaongozwa kibabe sana kwa hiyo sheria zinazofuatwa ni zile wanazozipenda wao na kule haki za binadamu wanajua kabisa kuwa ni zero ukilinganisha na nchi nyinine za europe
 
Last edited by a moderator:
Ungesikia wapo segerea kesi yao itasomwa 2016.. Watakachofanyiwa huko segerea wangejua wenyewe

shiria tunazo lakini hazifuatwi ...
na kabla ya 2016 utasiki mmoja wa wasichana alifariki na magonjwa ya moyo
mwingine alin'gatwa na nyoka shambani, na wa mwisho alikuwa anatoroka akapigwa risasi "bahati mbaya alifariki hapo hapo" loohhh
 
Offcourse wangepotezwa

Ila sio fair, mbona kuna Bands ni freaks na wanamtukana mpaka papa mfano 'CRADLE OF FILTH' walikuwa wamefanya live show inaitwa 'jesus is c*nt lakini wameachwa? Kuna msanii aliyechukua tuzo mwaka jana kwa kuwa msanii freak kuliko wote, anaitwa Marlin Manson na katika show zake anatukana dini, kuna nudes, anachana vitabu vya dini ila hawajamfanya kitu? Kisa hao Pussy Riot jioni ya show yao walisema hiyo show ni 'prayer to mother marry'! Bendi nyingi hazipendi kwenda Russia maana kule dini = siasa.
 
shiria tunazo lakini hazifuatwi ...
na kabla ya 2016 utasiki mmoja wa wasichana alifariki na magonjwa ya moyo
mwingine alin'gatwa na nyoka shambani, na wa mwisho alikuwa anatoroka akapigwa risasi "bahati mbaya alifariki hapo hapo" loohhh

Na hakuna mtu ambaye angewajibika wala nini. Mengine tumuachie tu Mungu japo hii kauli siipendi sana
 
Wanampigia mbuzi gitaa. But all in all na mimi ningependa wafunguliwe

"Governments including the United States, Britain, France and Germany joined the chorus Friday, denouncing the sentences as disproportionate."
 
Back
Top Bottom