Punyeto ni ushetani

mkuu sitaki nikulazimishe uamini nilichokiandika maana pia huo siyo mlengo wa hii thread. ulichokisema nimeshakisema na ni scientific fact kila mtu anafahamu.

nilichokizungumza ni imani ambayo kuna watu wameshuhudia wakijiengua kwa tiba za kiimani(maombi) baada ya kushindwa kuacha kwa kutumia njia za kawaida.

NB: science without religion is lame and religion without science is blind.

nafikiri utakuwa umeelewa ujinga wangu ulipo but Anyway endelea na punyeto.
 
Kufanya punyeto ni kufanyaa ngono na shetani ili kupata lengo ni kupata zile mbegu zako zinaenda kuzimu kuzalisha watoto wa kijini.
Unawekewa k ya mbwa,fisi au mdomo wa nyoka ananyonya zile manii, madhara yake ni wewe kupungukiwa na nguvu za kiroho na kimwili.Kuandamwa na mikosi,hakuna mpiga punyeto anaefanikiwa maishani.Thus baada ya punyeto mtu ujisikia hatia baada ya jini yule kumtoka mtu Mara baada ya kumaliza nyeto.
Sio rahisi kuacha nyeto kwa akili zako
 
pamoja sana mkuu
 
pamoja sana mkuu
Watu hawana elimu kuhusu ulimwengu usioonekana utendavyo kazi.
Hata ukienda kwa mganga atakuambia au kukuonyesha Nini Huwepo ufanyapo nyeto,ukionyesha ni uchafu asiee utamani
 
hongera sana mkuu MUNGU mkubwa naamini kupitia ushuhuda wako kuna watu humu watabadilika,
 
Watu hawana elimu kuhusu ulimwengu usioonekana utendavyo kazi.
Hata ukienda kwa mganga atakuambia au kukuonyesha Nini Huwepo ufanyapo nyeto,ukionyesha ni uchafu asiee utamani
wengi wanaobase kwenye scientific fact pekee ni failure wa kuondokana na punyeto na wanaitukuza sana, yaan hawafikirii kuacha.

MUNGU awe na wale wenye dhamira ya kutoka
 
Mazoezi yana uhusiano gani na kupiga punyeto, mimi nafanya mazoezi kila dakika na punyeto napiga, naokoa pesa, muda na magonjwa.
ukifanya mazoezi unachoka, mwili unakuwa na uchovu kwahyo muda huo hutafikiria kutafuta porn na kupiga nyeto badala yake utapumzika, sasa kama utachukulia mazoezi kama daily routine nyeto itakwisha kabisa.
 
Once in a while hata sio issue, hata hivyo sinaona popote kwenye Bible walikataza kujichukulia sheria mkononi.
ni kweli ila jaribu kutafakari je! MUNGU anaweza kubariki punyeto?
 
Sijabahatika kuisoma yote ila kiukweli hii inshu hata ukiwa unamwambia mtu atakusikiliza tuu ila akirudi kwenye anga zake aaahh kama kawaa
Aisee ni hatari sana na ndyo maana nikasema ni powerful demon, wafuasi wa asmodeus wanaopungua ni wachache kuliko wanaoongezeka.

duel force deliverance ts only solution, yaan hapo lazima uikane nafsi yako ukiplus na maombi mengi sana.
 
Nyeto, Bangi na Pombe mnavizingizia tu.

Kwasababu ni starehe ya mtu binafsi n wala haimbugudhi mtu.
 
wengi wanaobase kwenye scientific fact pekee ni failure wa kuondokana na punyeto na wanaitukuza sana, yaan hawafikirii kuacha.

MUNGU awe na wale wenye dhamira ya kutoka
Mtu anaejifungia kwenye fikra za sayansi fact yaani utomaso Huwa namuona yupo down sana sayansi haina uwezo wa kutoa majibu juu ya mengi yaliyopo dunia only 10% tu labda inaweza.
 
hapo ni pagumu sana aisee na ni mchakato siyo jambo la mara moja, kama ulivyojenga mazoea ya kuangalia misambwanda mara kwa mara jitahidi kuanza kuipotezea mdogomdogo, and surely inawezekana.
Ni kweli kabisaaa ila tatizo ni pale napoanza mchakato ndo mavishawishi yanaongezeka kwa kasi ya ajabu.
 
Usilete upuuzi wako hapa, punyeto inapigwa hata na masheikh na mapadre pamoja na wachungaji? Punyeto inasaidia sana kuokoa maisha ya watu sema tu ukizidisha itakukomoa kama huyu kijana wa jana aliyeanguka pale Makumbusho baada ya kujichua toka ghorofani.
 
Hivi mleta mada aliyekudanganya ni nani kuwa punyeto ni dhambi? Angalia jinsi Mapadre na Masheikh wanavyojichua, kwa hiyo hawa ni watenda dhambi wakati wanajichua wenyewe ku save hela?
 
Hivi mleta mada aliyekudanganya ni nani kuwa punyeto ni dhambi? Angalia jinsi Mapadre na Masheikh wanavyojichua, kwa hiyo hawa ni watenda dhambi wakati wanajichua wenyewe ku save hela?
hii bongo ina watu wajinga sana akiwemo na wewe mpiga nyeto. ondokana na huo ujinga acha punyeto, acha sababu za kipumbavu, eti masheikh na mapadri wanapiga nyeto! so kama padre au sheikh anapiga nyeto ndyo kusema kwamba siyo dhambi kwasababu padre au sheikh anafanya? you are complete fool bora ungekaa kimya.

hivi hujawah kusikia padre amezini? au sheikh amezini? kwahyo ile nayo siyo dhambi kwasababu padre au sheikh amefanya? hii jf ichunguzwe! tunaheshimu mawazo ya watu lakini hatuwezi kuulea upumbavu, punyeto siyo dhambi pekee bali ni mvunjaji mkubwa wa maadili, vijana wanapakua video za ngono, badala ya kushughulika na mambo ya muhimu wanazidi kujitumbukiza kwenye punyeto ambazo zinavuruga storage system kwenye ufahamu halafu eti unaleta sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.

mkuu acha punyeto ili huo upumbavu ukutoke.
 
sasa nani mpuuzi? mim au wewe?
wewe endelea kupiga punyeto. eti mapadre na masheikh wanapiga nyeto! hizi akili bana.
 
Nasikia Kuna raha zake, ungejua hizo raha hungesema ni ushetani. Ngoja wagonga punyeto watoe povu.
 
Na huyu ASMODEUS anawaandama zaidi Waafrika kuliko wazungu maana huwa anapenda watu wenye matatizo mengi zaidi. Kwa wazungu hana ubavu!
Wazungu wamethirika na huyu demon kuliko waafrika ndomana wazungu wanahalalisha ushoga na tabia zisizo za kawaida za kingono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…