sio dhihaka tu bali ni kuwatusi watu yaani mbwembwe nyiiiingi ila hamna kitu....sasa kila kitu basic wanapandisha kodi hadi simu,magari sasa kwa staili hii mtu mshahara wa 1M ukijafika kwako si imebaki laki 5 tu kutokana haya makato na mfumuko wa bei uko busy unapanda maana naona hadi mafuta yanaongezewa kodi