Punguzo la bei toka Zantel

Airtel nao wamekua unstble, net yao inakatakata sana wajirekebishe, sasatel plz we need you in arusha.:a s 465:
 
..duh!..zantel..airtel..voda..zantel..airtel..voda, mbona tigo hatajwi au yeye hayumo kwenye "ligi hii ya internet?"
 
punguzo la bei za modem na hata siyo bei ya bundles caz wana gharama kama vtle bado tupo mwaka 2006
 
unaweza kununua tena mara 2 unapomaliza bundle yako.unapomaliza mapema na kununua nyingine katika mwezi huo huo unapewa bonus.EATEL JISIKIE HURU

Kabla ya hii nilikua natuma neno FULLDATA nakatwa 70,000 napata 8gb kwa mwezi mzima, sasa hivi nimetuma INTERNET nimepata 400MB kwa mwezi mzima, ila ninahisi kama speed imepungua, sasa sijui kama kuna uhusiano wowote au vipi
 
..duh!..zantel..airtel..voda..zantel..airtel..voda, mbona tigo hatajwi au yeye hayumo kwenye "ligi hii ya internet?"
Voice anachemka, Data ataweza? Ukinunua modem ya tigo umeliwa, coverage ndogo sana, ukitoka tu maeneo ya mjini ujue hauko connected
 
Voice anachemka, Data ataweza? Ukinunua modem ya tigo umeliwa, coverage ndogo sana, ukitoka tu maeneo ya mjini ujue hauko connected

mimi cjui yalikuwa yamelala wapi...they cn stick with their outdated free sms!
 
Jamani ingieni Airtel, ukinunua bundle 400mb kwa 2,500/ unapata na Bonus,saa hizi ndo tunatumia ni wengi wanaosurf hadi 4554 na hii inasababisha mtandao kuwa mzito.
Nimeamini wengi wapo Airtel na sihami tena bei zao ni reasonable
 
Nami naungana nanyi moja kwa moja ukitaka uwe na amani na utullivu ni vema utumie modem ya AIRTEL kwani bundle zao ni very cheap TZS. 2,500/400mb ni affordable price lakini ZANTEL hawana dili kabisa tariff zao bado zipo juu sana, mimi nina modem ya ZANTEL lakini nimeiweka ndani na sina mpango wa kuitumia.
 
Back
Top Bottom