ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Nimefatilia nchi nyingi ambazo wamechukua hatua kubwa za kukabiliana na Covid19 nimejikuta naanza kuwaza fursa hii ya Barakoa.
Nitajikita apa kwetu kuna mafundi wa cherehani ambao ukipita mitaani unakuta wakipiga mihayo lakini kuna uhitaji mkubwa wa Barakoa bei inapanda kila uchwao.
Nashauri serikali andaeni wataalamu wasambazwe mikoani wakatoe elimu kwa mafundi awa ili watengeneze Barakoa nyingi watakavyoweza ili kila Mtanzania aweze kupewa Barakoa nne kila mmoja ambazo zinatosha kwa siku na kusafishwa kwaajili ya siku nyingine.Hii itasaidia upatikanaji wa Barakoa bila ghalama za usafilishaji.
Serikali itoe fedha zinazotolewa waajili ya Covid19 zikanunulie Barakoa.
Atakayeonekana hana barakoa barabarani achukuliwe hatua.
Lakini pia kumbuka hatujui ugonjwa huu utadumu muda gani,nashauri Serkali ipileke hoja ya dharula Bungeni ili bajeti ipitishwe ya kupambana na Covid19
Jijini la Dar Es Salaam lifungwe ili kuzuia maambukizi kuenea nchi nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajikita apa kwetu kuna mafundi wa cherehani ambao ukipita mitaani unakuta wakipiga mihayo lakini kuna uhitaji mkubwa wa Barakoa bei inapanda kila uchwao.
Nashauri serikali andaeni wataalamu wasambazwe mikoani wakatoe elimu kwa mafundi awa ili watengeneze Barakoa nyingi watakavyoweza ili kila Mtanzania aweze kupewa Barakoa nne kila mmoja ambazo zinatosha kwa siku na kusafishwa kwaajili ya siku nyingine.Hii itasaidia upatikanaji wa Barakoa bila ghalama za usafilishaji.
Serikali itoe fedha zinazotolewa waajili ya Covid19 zikanunulie Barakoa.
Atakayeonekana hana barakoa barabarani achukuliwe hatua.
Lakini pia kumbuka hatujui ugonjwa huu utadumu muda gani,nashauri Serkali ipileke hoja ya dharula Bungeni ili bajeti ipitishwe ya kupambana na Covid19
Jijini la Dar Es Salaam lifungwe ili kuzuia maambukizi kuenea nchi nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app