pump ya kumwagilia shamba

mbuyake

Senior Member
Feb 20, 2013
190
236
ndugu wana jf nilikuwa na mahitaji ya pump ndogo ya kumwagilia hvyo kATIKA PITAPITA ZANGU NIMEKUTA PUMPU AINA YA HONDA GX 120 na kipenyo cha inches kama tatu kwa laki nne ila ni used .swali langu je hii pump itaweza kuvuta maji kutoka mtoni penye height 20 na kusambaza shamba eka tano?
 
Mtoni height ya 20 nini?....shamba lako ni la nini,kwa sababu mazao yanatofautiana uhitaji wa maji...tuanzie hapo alafu tutaendelea kushauriana
 
shamba la mazao haya .mahindi heka tatu na nataka kulima matango na matikiti heka mojamoja mkuu niimekadilia kimo cha mwinuko kutoka mtoni hdi ukingoni ni mita ishirini
 
Back
Top Bottom