kanyela mumo JF-Expert Member Jun 16, 2016 2,034 2,106 Jan 16, 2017 #1 Mtikila pekee ndio alikuwa mpinzani wa kweli, na nahisi awamu hii angekuwepo tungeona thamani yake kuliko awamu zote. Nimemkumbuka sana, na sijui ni kwanini nimemkumbuka huyu comrade Mtikila..! Pumnzika kwa Amani baba.
Mtikila pekee ndio alikuwa mpinzani wa kweli, na nahisi awamu hii angekuwepo tungeona thamani yake kuliko awamu zote. Nimemkumbuka sana, na sijui ni kwanini nimemkumbuka huyu comrade Mtikila..! Pumnzika kwa Amani baba.