Pumnzika kwa Amani Mtikila

kanyela mumo

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
2,034
2,106
Mtikila pekee ndio alikuwa mpinzani wa kweli, na nahisi awamu hii angekuwepo tungeona thamani yake kuliko awamu zote.

Nimemkumbuka sana, na sijui ni kwanini nimemkumbuka huyu comrade Mtikila..!

Pumnzika kwa Amani baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…