Pumbu zinakuwa ndogo

Ha ha ha haaaaaaa hiyo dawa yake ndogo tafuta mtu ambaye hampatani harafu mwambie akutie kidole cha makalio, utaona mwenye zinaludi kuwa kubwa kama kawa.
 
habari wakuu! me ni kijana mwenye umri wa miaka 21 nilikuwa nasoma shule ya seminary sasa nilikuwa na tabia ya kujichua kipindi nipo shule, baada ya kuacha hii tabia sasa naona pumbu zinakuwa ndogo, lakini mashine yangu yenyewe ipo imara kabisa. sasa nifanyeje ili pumbu zangu zirudi katika hali yake ya kawaida? msaada tafadhari wakuu

Nenda Pangani mkuu, usiniulze kwa nini.
 
Usikute unakibamia halafu unataka uning'inize machungwa,Tulia na hivyo vigololi bwana mdogo.
 
habari wakuu! me ni kijana mwenye umri wa miaka 21 nilikuwa nasoma shule ya seminary sasa nilikuwa na tabia ya kujichua kipindi nipo shule, baada ya kuacha hii tabia sasa naona pumbu zinakuwa ndogo, lakini mashine yangu yenyewe ipo imara kabisa. sasa nifanyeje ili pumbu zangu zirudi katika hali yake ya kawaida? msaada tafadhari wakuu

Ukmbwa wa pmb si wingi wa shahw kijana, kama mashine inafanya kazi fresh wewe kende mzigo za kazi gani?!! Au girlfriend wako alikuhoji "mbona wewe pumbu zako ndogo"?...teh teh!
 
Back
Top Bottom