Salhat Senior Member Joined Oct 14, 2018 Posts 182 Reaction score 417 Jun 20, 2020 #1 Hlw Wana jf Karibuni mjipatie pumba nzuri kwa ajili ya mifugo inachakula Cha kutosha Tunapima sado 1000 Nusu sado. 500 Gunia 27,000 Gunia linakuwa na sado 30 na Zaid Wale wateja wataochukua kwanzia gunia 5 usafir watapata bure Tunapatika Moshi holili barabara ya kwenda taveta Kenya karibuni sna Mawasiliano 0692724797
Hlw Wana jf Karibuni mjipatie pumba nzuri kwa ajili ya mifugo inachakula Cha kutosha Tunapima sado 1000 Nusu sado. 500 Gunia 27,000 Gunia linakuwa na sado 30 na Zaid Wale wateja wataochukua kwanzia gunia 5 usafir watapata bure Tunapatika Moshi holili barabara ya kwenda taveta Kenya karibuni sna Mawasiliano 0692724797
Deo Corleone JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 17,039 Reaction score 13,471 Jun 20, 2020 #2 Sado 1 ni ndoo ngapi
Elungata JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 40,343 Reaction score 33,506 Jun 20, 2020 #3 Hii lugha ya sado huwa inachanganya kidogo,, Sado ni ule mfuko wa sulphate wa kg 25
L Lihove2 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2018 Posts 3,842 Reaction score 6,976 Jun 20, 2020 #4 Kumbe huko Moshi pumba ni ghali kuliko Dar.maana Dar siki hizi pumba si zaidi ya 15000 kwa gunia.
Salhat Senior Member Joined Oct 14, 2018 Posts 182 Reaction score 417 Jun 22, 2020 Thread starter #5 Deo Corleone said: Sado 1 ni ndoo ngapi Click to expand... Hiki ndo sado kwahyo n nusu ya ndoo ndogo
Salhat Senior Member Joined Oct 14, 2018 Posts 182 Reaction score 417 Jun 22, 2020 Thread starter #6 Elungata said: Hii lugha ya sado huwa inachanganya kidogo,, Sado ni ule mfuko wa sulphate wa kg 25 Click to expand... Hapana n kopo ambalo ukipima nalo kitu Mara mbili unajaza ndoo ndogo kwahyo n nusu ya ndoo ndogo
Elungata said: Hii lugha ya sado huwa inachanganya kidogo,, Sado ni ule mfuko wa sulphate wa kg 25 Click to expand... Hapana n kopo ambalo ukipima nalo kitu Mara mbili unajaza ndoo ndogo kwahyo n nusu ya ndoo ndogo
Salhat Senior Member Joined Oct 14, 2018 Posts 182 Reaction score 417 Jun 22, 2020 Thread starter #7 Lihove2 said: Kumbe huko Moshi pumba ni ghali kuliko Dar.maana Dar siki hizi pumba si zaidi ya 15000 kwa gunia. Click to expand... Yah maana utaeka usafir+ wapakia mzgo+wanaoenda kushusha+ mfuko kwahyo mpka kufika huku gharama inakuwa juu
Lihove2 said: Kumbe huko Moshi pumba ni ghali kuliko Dar.maana Dar siki hizi pumba si zaidi ya 15000 kwa gunia. Click to expand... Yah maana utaeka usafir+ wapakia mzgo+wanaoenda kushusha+ mfuko kwahyo mpka kufika huku gharama inakuwa juu
Salhat Senior Member Joined Oct 14, 2018 Posts 182 Reaction score 417 Jun 22, 2020 Thread starter #8 Pumba
D DENAMWE JF-Expert Member Joined Dec 29, 2019 Posts 871 Reaction score 885 Jun 22, 2020 #9 Elungata said: Hii lugha ya sado huwa inachanganya kidogo,, Sado ni ule mfuko wa sulphate wa kg 25 Click to expand... Ni vindoo vidogo vya plastiki vinavyohifadhi rangi. Asili ya jina ni vindoo vilivyokuwa vinahifadhi rangi ya kampuni ya Sadolin. Sent using Jamii Forums mobile app
Elungata said: Hii lugha ya sado huwa inachanganya kidogo,, Sado ni ule mfuko wa sulphate wa kg 25 Click to expand... Ni vindoo vidogo vya plastiki vinavyohifadhi rangi. Asili ya jina ni vindoo vilivyokuwa vinahifadhi rangi ya kampuni ya Sadolin. Sent using Jamii Forums mobile app