PUBLIC SPEAKING: Magufuli vs Lowassa

PUBLIC SPEAKING: Magufuli vs Lowassa

hongoli

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
18
Reaction score
15
¤Kwenye suala la public speaking, Edward Lowassa anatia huruma sana.

¤Nimeona siku akijiunga na CHADEMA. Hotuba yake alikuwa anaikosea kosea japo yote alikuwa anaisoma. Kwenye mkutano ule alifunikwa sana na hotuba ya Freeman Mbowe.

¤Akiongea bila kusoma, hususan akijibu maswali, anakuwa na majibu ya jazba "shut up and keep quiet".

¤Kwenye gesture ndio kuna matatizo zaidi. Labda kutokana na Parkinson disease iliyomfanya ashike kadi ya CHADEMA kwa mkono wa kushoto.

¤Siku aliyoanza kampeni kule Arusha ilikuwa hivyo hivyo. Alikuwa na hotuba ya kusoma ambayo alikuwa anaikosea kosea. Tukio zima likafunikwa na mzee Kingunge.

¤Naangalia kama kutakuwa na mdahalo kati ya Lowassa na Magufuli basi Lowassa atafunikwa sana ukichukulia uwezo wa Magufuli wa kukariri takwimu.
 
¤Kwenye suala la public speaking, Edward Lowassa anatia huruma sana.

¤Nimeona siku akijiunga na CHADEMA. Hotuba yake alikuwa anaikosea kosea japo yote alikuwa anaisoma. Kwenye mkutano ule alifunikwa sana na hotuba ya Freeman Mbowe.

¤Akiongea bila kusoma, hususan akijibu maswali, anakuwa na majibu ya jazba "shut up and keep quiet".

¤Kwenye gesture ndio kuna matatizo zaidi. Labda kutokana na Parkinson disease iliyomfanya ashike kadi ya CHADEMA kwa mkono wa kushoto.

¤Siku aliyoanza kampeni kule Arusha ilikuwa hivyo hivyo. Alikuwa na hotuba ya kusoma ambayo alikuwa anaikosea kosea. Tukio zima likafunikwa na mzee Kingunge.

¤Naangalia kama kutakuwa na mdahalo kati ya Lowassa na Magufuli basi Lowassa atafunikwa sana ukichukulia uwezo wa Magufuli wa kukariri takwimu.
Usiogope hilo yuko UKAWA atapigwa msasa hadi hawe safi in hrs unajua Ukawa **** majembe.


swissme
 
Mimi nadhani the guy is sick. I may be wrong though na please wahemkaji msije mkaanza kunitukana. Natoa maoni yangu ka Mtanzania huru!
 
Kama anaumwa atapona tu haina shida, ugonjwa Upo kwa kila MTU, hakuna awaye yule atakayeweza kukwepa kuumwa
 
Waongeaji sana sio watendaji, but watendaji huwa sio watu wa sound.....lumumba mjipange sana
 
Lowasa yeye ni short and clear hana maneno mengi utendaji ndo silaa yake na ndo tunaitaka watz
 
¤Kwenye suala la public speaking, Edward Lowassa anatia huruma sana.

¤Nimeona siku akijiunga na CHADEMA. Hotuba yake alikuwa anaikosea kosea japo yote alikuwa anaisoma. Kwenye mkutano ule alifunikwa sana na hotuba ya Freeman Mbowe.

¤Akiongea bila kusoma, hususan akijibu maswali, anakuwa na majibu ya jazba "shut up and keep quiet".

¤Kwenye gesture ndio kuna matatizo zaidi. Labda kutokana na Parkinson disease iliyomfanya ashike kadi ya CHADEMA kwa mkono wa kushoto.

¤Siku aliyoanza kampeni kule Arusha ilikuwa hivyo hivyo. Alikuwa na hotuba ya kusoma ambayo alikuwa anaikosea kosea. Tukio zima likafunikwa na mzee Kingunge.

¤Naangalia kama kutakuwa na mdahalo kati ya Lowassa na Magufuli basi Lowassa atafunikwa sana ukichukulia uwezo wa Magufuli wa kukariri takwimu.

Halafu jamaa lisivyohangaika nao, haliwataji hata majina lenyewe linatwanga ukawa ndio wanahangaika magufuli magufuli,
 
Back
Top Bottom