Maoni ya watanganyika ndio yataamua hatima ya wazanzibari, hii inatokana na kweli ya kwamba vituo vimeweka Dodoma na Dar ktk ardhi ya Tanganyika.
Swali ni je wazanzibari watajifunza nini ? na je madai ya wazanzibari kutawaliwaliwa na mabeberu kutoka Tanganyika ni sahihi? na je ni hatua gani moja na ya uhakika wazanzibari wataichukua?
Swali ni je wazanzibari watajifunza nini ? na je madai ya wazanzibari kutawaliwaliwa na mabeberu kutoka Tanganyika ni sahihi? na je ni hatua gani moja na ya uhakika wazanzibari wataichukua?