PSSSF lipeni mapunjo ya wanachama wenu

PSSSF lipeni mapunjo ya wanachama wenu

mambo_safi

Senior Member
Joined
Jul 22, 2019
Posts
180
Reaction score
446
Mafao mengi ya wanachama yakilipwa huwa hayalipwi yoote. Unakuta mtu anastahili kulipwa milioni 35. Badala ya kulipwa yoote unalipwa milioni 30. Anaambiwa aandike barua kukubali kulipwa milioni 30 alafu nyingine atalipwa baada ya michango yake kuwekwa sawa. Hicho kiasi kilichobaki ambacho wanakiita "Mapunjo" atafuatilia miaka nenda miaka rudi bila kulipwa. Kwanini hamtaki kulipa hela za watu? Tumeandika barua nyingi kukumbushia hazifanyiwi kazi nyingine zinatupwa haziwekewi rekodi ukirudi wanasema barua haionekani!!! Kwanini mnafanya hivyo? Hiyo si ni hela yake na haki yake na jasho lake kwanini mnafanya dhuruma? Huuu ni mpango wa wizi wa mchana wa mafao ya wanachama kwasababu ukijumlisha mapunjo yoote ya wanachama (kwasababu hakuna mwanachama alishawahi kulipwa mafao yoote) ni mabillioni ya hela. Ukifuatilia wanasema tunashughulikia kwanza ambao hawajalipwa kabisa wewe subiri. Kwahiyo asubiri mpaka mwaka gani? PSSSF epukeni laana zisizokuwa za lazima lipeni Mapunjo ya wanachama
 
Hii ni dhuruma! PSSSF lipeli mafao "mapunjo" ya watu. Nina jamaa zangu wengi waliachishwaga kazi wakalipwa mafao yao. Cha ajabu kila mmoja alilalamika kuwa hakulipwa hela yake yooote na kaambiwa aandike barua kukumbushia. Hao jamaa huu karibu mwaka wa pili wanafuatilia hakuna aliyelipwa!
 
Hio ni kawaida tu siku hizi mkuu,mpk stiglaz gorge ikamilike,madege yamalizwe kununuliwa,madaraja ya ardhini na majini yajengwe labda ndo watalipa hela za watu.

Na bado unalazimishwa uwe mzalendo kwa style hio.
Hii ni dhuruma! PSSSF lipeli mafao "mapunjo" ya watu. Nina jamaa zangu wengi waliachishwaga kazi wakalipwa mafao yao. Cha ajabu kila mmoja alilalamika kuwa hakulipwa hela yake yooote na kaambiwa aandike barua kukumbushia. Hao jamaa huu karibu mwaka wa pili wanafuatilia hakuna aliyelipwa!
 
Mafao mengi ya wanachama yakilipwa huwa hayalipwi yoote. Unakuta mtu anastahili kulipwa milioni 35. Badala ya kulipwa yoote unalipwa milioni 30. Anaambiwa aandike barua kukubali kulipwa milioni 30 alafu nyingine atalipwa baada ya michango yake kuwekwa sawa. Hicho kiasi kilichobaki ambacho wanakiita "Mapunjo" atafuatilia miaka nenda miaka rudi bila kulipwa. Kwanini hamtaki kulipa hela za watu? Tumeandika barua nyingi kukumbushia hazifanyiwi kazi nyingine zinatupwa haziwekewi rekodi ukirudi wanasema barua haionekani!!! Kwanini mnafanya hivyo? Hiyo si ni hela yake na haki yake na jasho lake kwanini mnafanya dhuruma? Huuu ni mpango wa wizi wa mchana wa mafao ya wanachama kwasababu ukijumlisha mapunjo yoote ya wanachama (kwasababu hakuna mwanachama alishawahi kulipwa mafao yoote) ni mabillioni ya hela. Ukifuatilia wanasema tunashughulikia kwanza ambao hawajalipwa kabisa wewe subiri. Kwahiyo asubiri mpaka mwaka gani? PSSSF epukeni laana zisizokuwa za lazima lipeni Mapunjo ya wanachama
Vipi mkuu walishalipwa?
 
Back
Top Bottom