mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika inasitikisha sana kwa wanayopitia wazee wastaafu waliojitolea kuitumikia nchi kwa nguvu zao na kuchangia michango yao kwenye mifuko ya jamii lakini leo wanashinda wanazurura kudai haki yao.
Kuna mzee alistaafu Julai 2018 lakini mpaka leo amekuwa akizungushwa na watendaji wa PSSSF kwa kuambiwa njoo kesho njoo mwezi ujao.
Kwa mujibu wa maelezo ya mstaafu huyu anadai mafao yake ya serikali kuu kwani amefanya kazi serikali kuu na serikali za mitaa.Tunaiomba serikali ikawaangalia wazee wastaafu kwa jicho la huruma na kuwalipa mafao yao.
Kuna mzee alistaafu Julai 2018 lakini mpaka leo amekuwa akizungushwa na watendaji wa PSSSF kwa kuambiwa njoo kesho njoo mwezi ujao.
Kwa mujibu wa maelezo ya mstaafu huyu anadai mafao yake ya serikali kuu kwani amefanya kazi serikali kuu na serikali za mitaa.Tunaiomba serikali ikawaangalia wazee wastaafu kwa jicho la huruma na kuwalipa mafao yao.