PSSF

PSSF

Wangapi wanaamini psssf ?


  • Total voters
    7

ThisisDenis

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
178
Reaction score
154
PSSSF ni nyi ni jipu, kwa nini mnashindwa kufuatilia kampuni ambazo haziweki mafao ya hiadhi za kijamii kwa watumishi, shida inakua nini au lengo lenu ni kuwadhutumu watumishi😡😡😡🤬🤬🤬 mnakera sana ninyi ndio mnategemewa kwa nini msioneshe msaada ?
 
PSSSF ni nyi ni jipu, kwa nini mnashindwa kufuatilia kampuni ambazo haziweki mafao ya hiadhi za kijamii kwa watumishi, shida inakua nini au lengo lenu ni kuwadhutumu watumishi😡😡😡🤬🤬🤬 mnakera sana ninyi ndio mnategemewa kwa nini msioneshe msaada ?
Huu mfuko ulioutaja unahusika na watumishi wa Umma tu

Private ni NSSF
 
Hivi inawezekana PSSF wakakipa salio dogo kulikoni ulilochangia?Mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu.Nilikuwa nachqngia mfuko wa LAPF kabla ya sheria kubadilisha 2018 na sisi wa Private kurudishwa NSSF tangu 2018 August..Hela zangu za mwanzo zikabaki LAPF ambayo ikawa PSSSF jumla ya million 18 Kwa kuziona kwenye statement,nilikuwa natizama!Sasa mkataba uliisha nikachukua Hela zangu zote za NSSF,zote tangu 2018 August mpaka pale nilipoachia kuchangia 2023. Niichukua Hela zangu zote za NSSF baada ya mkataba kwisha!Sasa zikabaki za LAPF ambazo zinalipwa na PSSSF,Cha ajabu baada ya taratibu zote kukamilika,nimelipwa million 15,na nilichangia 18.Naomba kuelewa wadau ili linawezwkanaje?Kuchangia million 18 na kulipwa 15.Msaada wadau wangu tafadhali mwenye kulijua hili!
 
Hivi inawezekana PSSF wakakipa salio dogo kulikoni ulilochangia?Mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu.Nilikuwa nachqngia mfuko wa LAPF kabla ya sheria kubadilisha 2018 na sisi wa Private kurudishwa NSSF tangu 2018 August..Hela zangu za mwanzo zikabaki LAPF ambayo ikawa PSSSF jumla ya million 18 Kwa kuziona kwenye statement,nilikuwa natizama!Sasa mkataba uliisha nikachukua Hela zangu zote za NSSF,zote tangu 2018 August mpaka pale nilipoachia kuchangia 2023. Niichukua Hela zangu zote za NSSF baada ya mkataba kwisha!Sasa zikabaki za LAPF ambazo zinalipwa na PSSSF,Cha ajabu baada ya taratibu zote kukamilika,nimelipwa million 15,na nilichangia 18.Naomba kuelewa wadau ili linawezwkanaje?Kuchangia million 18 na kulipwa 15.Msaada wadau wangu tafadhali mwenye kulijua hili!
Ridhika na hicho kidogo.

Na wao walikwambia nini?
 
Back
Top Bottom