ikersmn
Member
- Mar 21, 2014
- 18
- 16
Ningependa kuuliza kama kuna mtu yoyote mwenye kujua updates zozote kuhusu hawa jamaa, maana interview ilifanyika toka mwez wa saba na wa nane mwanzoni, majibu ya wote tuliofanya nao naona yameonyeshwa 23-aug lakin ya ssra naona kama hayapo, vipi ni kwamba yame sahaulika au ndo kuna wenzetu wapo mzigoni sa hv, sie 2nang'aa macho tu kusubiri majibu??? :what::what: