PSRS: Kulikoni zile post 101?

Si kweli bhana
nimewahi fanya usaili wa kuandika wa HR sikukuta hata swali moja nililosoma darasan chuo kikuu

ingawa ni kweli kwamba mara nyingi yanakuwa ya darasani

Haya mkuu asante kwa kunifumbua macho
 
Hzo nafas ya maafisa utumishi twazisubiri wengi mkuu,hta mim huwa najiuliza sana,kwann kimya mpk leo…bt ngoja tusubiri mkuu tuone mwisho wao,uvumilivu ni mzr zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…