kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 13,710
- 25,495
Kuna tumaini?Tayari mkuu, nipo mjini Dom sasa napunga upepo kama halijatokea jambo vile![]()
Kuna tumaini?Tayari mkuu, nipo mjini Dom sasa napunga upepo kama halijatokea jambo vile![]()
😂😂😂😂Ukute wamemkanda huko
Unamtia moyo sana
😂😂😂😂Nyama choma za CBE hapo chini ni tamu balaaDaah Dodoma nimekuja kula nyama chomaa![]()
Acha tu angalau nile nyamaaNyama choma za CBE hapo chini ni tamu balaa




😂😂😂😂 Utumishi sio watuAcha tu angalau nile nyamaa![]()
Giza tu mkuuKuna tumaini?
Kweli kabisa mkuuHii Ilikua nyepesi nadhani utatoboa mkuu
😂😂😂😂Hajapata mchongo wakula kimasihara hahhhhhKimasikhara je?![]()
Yani siku hiyo sijui ilikuaje aseeh huwa nakaa najicheka tu
Hahhhhh walichoka kutumia nguvu
😂😂😂😂 Kiingereza kinakula energy balaaMkuu, kingereza hata kama unakijua kama hukitumii sana, siku ukipata nafasi ya kukitumia utajiona unatumia nguvu nyingi kupita maelezo.
Kiingereza kinakula energy balaa
😂😂😂😂hatari sanaHahaha, unawejikuta unatokwa na jasho balaa, mpaka utakaporudi kwenye kiswahili ndipo joto linarudi kwenye hali yake ya kawaida.
Na written interview maswali yalikuwa yapiAdmission officer
some of the oral interview questions.
-Briefly tell us about yourself education and work experience
-Stakeholders of university admission
-Challenges of online admission system
-Duties of an admission officer
Mliofanya usaili mko wapi mtupe miongozoNgoja waje mpeane miongozo...
Mimi nishatoa dondoo mkuu, labda wengine wanaugulia mikando