Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,584
- 17,528
Ndugu zangu kipindi naajiriwa pspf walinishawishi kwamba nikichangia Mara 6 wananipa mkopo ambao ni mshahara wangu X3 (basic)
Baada ya kuchangia X6 nimefata wakaanza ahadi kama za wagombea.
Kusema ukweli sijawaelewa.
Hivi kuna possibility ya kuhama mfuko?
Baada ya kuchangia X6 nimefata wakaanza ahadi kama za wagombea.
Kusema ukweli sijawaelewa.
Hivi kuna possibility ya kuhama mfuko?