moj6
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 3,354
- 5,006
Habari wakuu ,
Jana nilikuwa kwenye daladala nikielekea posta, kwa pembeni yangu kulikuwepo na mzee mmoja ambaye alikuwa anaelekea ubongo terminal ,katika kupiga story za hapa na pale yule mzee akanielezea historia yake kua ni mstaafu wa wizara ya kilimo na mifugo , carrier yake ni agricultural officer wa kata mkoan Kagera ,alikuwa akilalamika sana kuwa shirika hili la mafao kwa wastafu linamzungusha sana kumpatia hela zake,
Mzee amestaafu rasmi mwezi wa nne na wakamuahidi watamlipa mwezi wa kumi ,baadae wa kumi na moja ,na sasa hiv ameambiwa watamlipa December lisha ya kuja dar kwenye ofisi zao ,imeniuma sana kwan mzee anaumwa ,then amechoma nauli kutoka kagera mpaka dar ,kwann pspf iendelee kumzungusha huyu mzee wakati ni hela zake yy mwenyewe ?
Hili linatufundisha nin tunaotegemea kujiajiri au kuajiriwa kuhusu PSPF? nawakirisha
Asante
Jana nilikuwa kwenye daladala nikielekea posta, kwa pembeni yangu kulikuwepo na mzee mmoja ambaye alikuwa anaelekea ubongo terminal ,katika kupiga story za hapa na pale yule mzee akanielezea historia yake kua ni mstaafu wa wizara ya kilimo na mifugo , carrier yake ni agricultural officer wa kata mkoan Kagera ,alikuwa akilalamika sana kuwa shirika hili la mafao kwa wastafu linamzungusha sana kumpatia hela zake,
Mzee amestaafu rasmi mwezi wa nne na wakamuahidi watamlipa mwezi wa kumi ,baadae wa kumi na moja ,na sasa hiv ameambiwa watamlipa December lisha ya kuja dar kwenye ofisi zao ,imeniuma sana kwan mzee anaumwa ,then amechoma nauli kutoka kagera mpaka dar ,kwann pspf iendelee kumzungusha huyu mzee wakati ni hela zake yy mwenyewe ?
Hili linatufundisha nin tunaotegemea kujiajiri au kuajiriwa kuhusu PSPF? nawakirisha
Asante

