Ina maana kaka haujui ps3 ni nini??....Aiseee hiyo noma.Mkuu weka maelezo ya kujitoshereza!maana Ps3 nirahisi kwa wanaoijua je kama mimi ninayo lakini siijui labda kati ya wanafamilia hayupo nakatuachia mali twambie nini yawezekana tunayo tunasugulia miguu!!lol!:help::mod::gossip:
Sasa unachoshangaa nini kwani ajabu??au mimi mbulula kwakuwa sijui Ps3??Mimi nimekulia kijijini na nikasomea kijijini ndomaana nauliza wewe kama umekulia mafletini kombolela umechezea nyuma ya mafriji mimi ilikuwa vichakani!Ina maana kaka haujui ps3 ni nini??....Aiseee hiyo noma.
Sasa unachoshangaa nini kwani ajabu??au mimi mbulula kwakuwa sijui Ps3??
Mimi sipotei ila wewe kama utaki kuelimisha umma mimi nitasimama juu yao eleza hiyo Ps3 nini kama nikibao cha kupigia plasta au cheeping tujue nakama kuna Ps1,ps2 nayenyewe tujue tunajua wewe unajua zaidi yetu lakini nasisi tunataka kujua kupitia kwako!mkuu!Me staki ugonmvi kaka...kama hauna Ps3 nakuomba upotee...Naona umeboreka home..kazi kuzinguana tuu.
Mimi sipotei ila wewe kama utaki kuelimisha umma mimi nitasimama juu yao eleza hiyo Ps3 nini kama nikibao cha kupigia plasta au cheeping tujue nakama kuna Ps1,ps2 nayenyewe tujue tunajua wewe unajua zaidi yetu lakini nasisi tunataka kujua kupitia kwako!mkuu!
Poa ndugu hamna tabu, ila tambua huku kwenye hizi social network watu tupo wa kila aina cha msingi na sekondari ni kuvumiliana na kusameheana, wengi huku hatufahamiani sana. inabidi saa nyingine kupotezeana.Sasa unaona wala ujatumia gharama kutujuza sasa nimejua ila huyu NickFatz siyo muungwana kabisa!kumbe!!
Nilitaka aueleweshe umma watu wajue!Poa ndugu hamna tabu, ila tambua huku kwenye hizi social network watu tupo wa kila aina cha msingi na sekondari ni kuvumiliana na kusameheana, wengi huku hatufahamiani sana. inabidi saa nyingine kupotezeana.
Kwa upande wangu mimi sio mchoyo kwa knowledge ambayo ninayo