Bora waache bunge 'live' vinginevyo kutakua na 'tv mbao live'
haishangazi ndio maana tuanaenda kinyumenyuma na maendeleo inaendelea kuwa ndoto ya alinacha.
nijuavyo mimi ni kuwa ukiingia kweye biashara ya usafiri lengo ni kupata abiria
ukifungua mgahawa na kupika chakula unategemea kiuzwe na kuisha na yasibaki makombo
chombo cha habari kama magazeti nia ni ukichapisha yakenda mtaani kusiwepo na return
wenye blogs na websites nia yao ni zifikiwe na watu wengi kadri iwezekanavyo
Sasa inakuwaje TBC wameanzisha matangazo ya television alafu hawataki watu wayaangalie!??? Haya ni maajabu mengine ya Tanzania!!!
me nahis ulimi uliteleza maana pembe halikatwi,hung'olewa sasa huenda alimaanisha kuwang'oa KUCHAInawezekana maana jana Rais akiwa kwenye mkutano wa CCM Iringa alivunja katiba kwa kusema atawakata mapembe wananchi ambao wanadai haki katika kulinda raslimali za Taifa lao kwa mujibu wa katiba yetu.
Agekuwa ametamka maneno hayo mtu mwingine, muda huu angeitwa mchochezi na tayari MWEMA angetumwa haraka kumkamata.
Naungana na Wabunge Vita Kawawa na Zedi walisema kwenye mahojiano na ITV kuwa wananchi wapewe taarifa sahihi pia wajue umuhimu wa mradi mkubwa wa GESI.
Sasa Kikwete baada ya kusaini mikataba 19 na WACHINA analeta vitisho visivyo na maana kwa wananchi kuwa atawakata mapembe! Atashindwa kwa ajili ya maendeleo ya nchi, na kama amesaini mikataba hiyo usiku kwenye dhifa bila kuipeleka bungeni damu ya wananchi itakuwa mikononi mwake.
Pia matamshi ya Anne Killango bungeni nayo ni ya kutumwa ili kufunka ukweli, anasema baada ya kugunduliwa GESI na URANI basi mataifa ya nje yanajiingiza nchini kuleta vurugu. mama huyo naye aliongea kana kwamba anaigiza kumbe mnafiki.
Rais hakusema hivyo ninyi ndio wachochezi nilichosikia mimi alisema waliosababisha vurugu watasakwa hadi wapatikane iwe ndani iwe nje. Sasa hayo mapembe alikwambia wewe kwani wewe una mapembe mbona siye binadamu tuna masikio. Acheni kuzusha maneno ya uchochezi kutaka misifa isiyo tija.Inawezekana maana jana Rais akiwa kwenye mkutano wa CCM Iringa alivunja katiba kwa kusema atawakata mapembe wananchi ambao wanadai haki katika kulinda raslimali za Taifa lao kwa mujibu wa katiba yetu.
Agekuwa ametamka maneno hayo mtu mwingine, muda huu angeitwa mchochezi na tayari MWEMA angetumwa haraka kumkamata.
Naungana na Wabunge Vita Kawawa na Zedi walisema kwenye mahojiano na ITV kuwa wananchi wapewe taarifa sahihi pia wajue umuhimu wa mradi mkubwa wa GESI.
Sasa Kikwete baada ya kusaini mikataba 19 na WACHINA analeta vitisho visivyo na maana kwa wananchi kuwa atawakata mapembe! Atashindwa kwa ajili ya maendeleo ya nchi, na kama amesaini mikataba hiyo usiku kwenye dhifa bila kuipeleka bungeni damu ya wananchi itakuwa mikononi mwake.
Pia matamshi ya Anne Killango bungeni nayo ni ya kutumwa ili kufunka ukweli, anasema baada ya kugunduliwa GESI na URANI basi mataifa ya nje yanajiingiza nchini kuleta vurugu. mama huyo naye aliongea kana kwamba anaigiza kumbe mnafiki.
ili wafiche ukweli wa mambo.. yaani serikali hii imelaaniwa..Ndio ukweli wenyewe toka ndani ya TBC kuwa simu imetoka magogoni na mjengozi
Kwanza kupunguza freequence za wenyemadishi kupata chanell
Pili kutorusha vipindi vya bunge hasa swala na gesi mpaka further notice
Rais hakusema hivyo ninyi ndio wachochezi nilichosikia mimi alisema waliosababisha vurugu watasakwa hadi wapatikane iwe ndani iwe nje. Sasa hayo mapembe alikwambia wewe kwani wewe una mapembe mbona siye binadamu tuna masikio. Acheni kuzusha maneno ya uchochezi kutaka misifa isiyo tija.
Ndio ukweli wenyewe toka ndani ya TBC kuwa simu imetoka magogoni na mjengozi
Kwanza kupunguza freequence za wenyemadishi kupata chanell
Pili kutorusha vipindi vya bunge hasa swala na gesi mpaka further notice
hawakuweza ndio lakini hao wamisri na tunisia walichokitaka maeshakipata? mbona kama wale waliowaamini kuwa ndio watawabadilishia halii ya maisha yao ndio wanawageuka tena?Hata Tunisia na Egypt walikata mawasiliano ya simu vilevile lakini hawakuweza!!!!
me nahis ulimi uliteleza maana pembe halikatwi,hung'olewa sasa huenda alimaanisha kuwang'oa KUCHA
Rais hakusema hivyo ninyi ndio
wachochezi nilichosikia mimi alisema waliosababisha vurugu watasakwa
hadi wapatikane iwe ndani iwe nje. Sasa hayo mapembe alikwambia wewe
kwani wewe una mapembe mbona siye binadamu tuna masikio. Acheni kuzusha
maneno ya uchochezi kutaka misifa isiyo tija.
Leo nimechoka kubishana.Yasadikika kuwa masikio yako yanachagua vya kusikia! kama hukuchelewa kuangalia habari hiyo. Hayo yalitamkwa na Rais mwenyewe, kisha Nchimbi akaendeleza kukazia! Duh! UNAZI NOMA jamani! unakataa live! Mtanzania kweli wewe?