cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
Mtoto Sio Riziki by Solo Thang
a.k.a BOFLO!
Mtoto Sio Riziki by Solo Thang
Acheni majungu mlitaka amchague Anton Komu?ambaye ameshindwa ata kujieleza vizuri bungeni! Tuache fitina Mh Mbatia anao uwezo mkubwa na ataimudu vizuri nafasi hiyo , kwa fikra mbovu kama hizo inamaana Raisi akimpa uwaziri Mh Mbowe,je Mh Mbowe nae atakuwa kibaraka?tafadhari acheni wivu na majungu yasiyo na tija kwa taifa letu,Mungu ibariki Tanzania,Mungu wabariki wateuliwa wote wafanye kazi kwa uaminifu na uadilifu mkubwa kwa manufaa ya taifa letu!
he,he,heeeeee,,achen utani,,,halima mdee si mpare jamaa ni mtani wake nayie msio watani ina maana mnasema ukeli,,mara chakula,,oop jamaa punga,,,,ooomara si riziki mara anang'atishwa godoro,,,mara ni strategies za kiuchumi tuendelee kupata misaada kwa comeroon,london,,,,,,toeni ushahidi la mimi na msekwa poa mnawivu wa kike,,,haya nitukaneni,,,,,,,,leteni ushahidi hapa tena si ule oookh alikua ananyoa 'o'wangapi waliwahi nyoa/////oo amepooza kisiasa nani hazeeki,,,,,,leta shahidi watu wawahi folen,,,achen umbea,,,,Mtoto Sio Riziki by Solo Thang
Bwa ha ha ha ha ha! Namwonea sana huruma Rais wetu; hii itaigharimu sana CCM kisiasa kuliko wanavyodhani "wamelamba" dume. Hapa wajinga wajinga fulani walisha anza "kuipakazia" CDM kuwa mshirika wa Cameroon.
Kwa hisia zilizoko huku mitaani kuhusiana na mwenendo wa huyo jamaa, kama ni za kweli, iko wazi sasa ni nani anayetekeleza masharti ya Cameroon - CCM au CDM? Mwenye ufahamu na apime mwenyewe.
zumbemkuu,,jamaa ibghwa ikongoti la muingo,,,soni yaisanga,,,
Pia Mdee alisema mbatia ni 'chakula', sasa uki connect dots utaona JK anatekeleza maagizo ya cameron, kwamba watu kama kina James nao wapewe nafasi...
imenifurahisha sana hiyoMh jaji wewe ni kibaraka wa nani?na vp hili sembe lingekudondokea wewe ungekataa?
mwakilishi wa DAVID CAMERRON bungeni
Kauli ya Halima mdee kwenye kampeni za kugombea ubunge mwaka 2010 kuwa James Mbatia ni kibaraka wa ccm sasa imetimia. Pia waliompinga Kafulila sasa watakuwa waamefunguka macho na maono. Hii ni baada ya James Mbatia ambaye ni mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu na JK.
Kauli ya Halima mdee kwenye kampeni za kugombea ubunge mwaka 2010 kuwa James Mbatia ni kibaraka wa ccm sasa imetimia. Pia waliompinga Kafulila sasa watakuwa waamefunguka macho na maono. Hii ni baada ya James Mbatia ambaye ni mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu na JK.
Kitu nimegundua hap JF ndio maana watu hudiriki kusema Jf ni ya CHADEMA..kwasababu kila kitu hpa kinawekwa ki upinzan hasa wa chama changu cdm kwasababu watu tunashindwa kuelewa nini maana ya demokrasia ya kweli au kukuwa kwa demokrasia....hivi leo hii watu wengi huitolea marekan km nchi iliyopiga hatua ktk demokrasia....kwa mfano Obama pindi anagombea urais Hillary Clinton alikua mpinzani wake lakini sasa hivi huyu mama ndie waziri wa mambo ya nje kwan huyu mama kaathiri kitu gani kwa utendaji wa Obama na serikal yake??? Nasema hapa nikiwa na maana ya kwamba Kikwete kumteua Mbatia kuwa mbunge sio ajabu wala jambo geni hata kidogo....kwan angemteua wa chadema tungehoji??? au udp,nk..?? hapa anapanua wigo wa siasa na kuondoa siasa za mazoea na za chuki dhidi ya vyama vya siasa ili hata wa cdm akipata na akafanya hivyo watu wasione km ajabu...na ieleweke kumpa mbatia hiyo nafas sio kwamba ccm haina watu au wanachama makini sio hivyo hiyo ndio maana halisi ya siasa za kuvumiliana na kuheshimiana na kwa uwazi zaidi...naomba tubadilike SIASA HAINA ADUI WA RAFIKI WA KUDUMU''' naomba kuunga mkono hoja
kwa manufaa ya taifa la uingerezaAcheni majungu mlitaka amchague Anton Komu?ambaye ameshindwa ata kujieleza vizuri bungeni! Tuache fitina Mh Mbatia anao uwezo mkubwa na ataimudu vizuri nafasi hiyo , kwa fikra mbovu kama hizo inamaana Raisi akimpa uwaziri Mh Mbowe,je Mh Mbowe nae atakuwa kibaraka?tafadhari acheni wivu na majungu yasiyo na tija kwa taifa letu,Mungu ibariki Tanzania,Mungu wabariki wateuliwa wote wafanye kazi kwa uaminifu na uadilifu mkubwa kwa manufaa ya taifa letu!
panadol,Rais akimpa Uwaziri Mbowe nae atakuwa kibaraka? Tafadhari acheni wivu na majungu yasiyo na tija kwa taifa letu.
kipi ambacho hujaelewa? hujaelewa just a sigle sentence vipi utaelewa kitabu kizima, tukuwekeee