Proved: Halima Mdee alinena

Acheni majungu mlitaka amchague Anton Komu?ambaye ameshindwa ata kujieleza vizuri bungeni! Tuache fitina Mh Mbatia anao uwezo mkubwa na ataimudu vizuri nafasi hiyo , kwa fikra mbovu kama hizo inamaana Raisi akimpa uwaziri Mh Mbowe,je Mh Mbowe nae atakuwa kibaraka?tafadhari acheni wivu na majungu yasiyo na tija kwa taifa letu,Mungu ibariki Tanzania,Mungu wabariki wateuliwa wote wafanye kazi kwa uaminifu na uadilifu mkubwa kwa manufaa ya taifa letu!

We Paracetamol, Mbowe amechauliwa kwa kura za wananchi. Mbatia ni kilaza mmojawapo> Halima alisema kweli wakati wa campaign
 
Makatibu wakuu wa CHADEMA na NCCR MAGEUZI walikwisha suluhisha hili jambo, sasa kwa nini mnaendeleza hoja mfu?
 
Kwa hiyo huyu Mbatia pale bungeni atakuwa mbunge wa CCM?, au NCCRCCM?, au viti maalum?. Ni dhahiri huyu ni pandikizi hivyo wapinzani pale bungeni wamuogope kama ukoma.
 
Mtoto Sio Riziki by Solo Thang
he,he,heeeeee,,achen utani,,,halima mdee si mpare jamaa ni mtani wake nayie msio watani ina maana mnasema ukeli,,mara chakula,,oop jamaa punga,,,,ooomara si riziki mara anang'atishwa godoro,,,mara ni strategies za kiuchumi tuendelee kupata misaada kwa comeroon,london,,,,,,toeni ushahidi la mimi na msekwa poa mnawivu wa kike,,,haya nitukaneni,,,,,,,,leteni ushahidi hapa tena si ule oookh alikua ananyoa 'o'wangapi waliwahi nyoa/////oo amepooza kisiasa nani hazeeki,,,,,,leta shahidi watu wawahi folen,,,achen umbea,,,,
 

Bwa ha ha ha ha ha! Namwonea sana huruma Rais wetu; hii itaigharimu sana CCM kisiasa kuliko wanavyodhani "wamelamba" dume. Hapa wajinga wajinga fulani walisha anza "kuipakazia" CDM kuwa mshirika wa Cameroon.

Kwa hisia zilizoko huku mitaani kuhusiana na mwenendo wa huyo jamaa, kama ni za kweli, iko wazi sasa ni nani anayetekeleza masharti ya Cameroon - CCM au CDM? Mwenye ufahamu na apime mwenyewe.

hapo lipo wazi hata kipofu anaweza kuona kuwa ni ccm
 
Kitu nimegundua hap JF ndio maana watu hudiriki kusema Jf ni ya CHADEMA..kwasababu kila kitu hpa kinawekwa ki upinzan hasa wa chama changu cdm kwasababu watu tunashindwa kuelewa nini maana ya demokrasia ya kweli au kukuwa kwa demokrasia....hivi leo hii watu wengi huitolea marekan km nchi iliyopiga hatua ktk demokrasia....kwa mfano Obama pindi anagombea urais Hillary Clinton alikua mpinzani wake lakini sasa hivi huyu mama ndie waziri wa mambo ya nje kwan huyu mama kaathiri kitu gani kwa utendaji wa Obama na serikal yake??? Nasema hapa nikiwa na maana ya kwamba Kikwete kumteua Mbatia kuwa mbunge sio ajabu wala jambo geni hata kidogo....kwan angemteua wa chadema tungehoji??? au udp,nk..?? hapa anapanua wigo wa siasa na kuondoa siasa za mazoea na za chuki dhidi ya vyama vya siasa ili hata wa cdm akipata na akafanya hivyo watu wasione km ajabu...na ieleweke kumpa mbatia hiyo nafas sio kwamba ccm haina watu au wanachama makini sio hivyo hiyo ndio maana halisi ya siasa za kuvumiliana na kuheshimiana na kwa uwazi zaidi...naomba tubadilike SIASA HAINA ADUI WA RAFIKI WA KUDUMU''' naomba kuunga mkono hoja
 
Kauli ya Halima mdee kwenye kampeni za kugombea ubunge mwaka 2010 kuwa James Mbatia ni kibaraka wa ccm sasa imetimia. Pia waliompinga Kafulila sasa watakuwa waamefunguka macho na maono. Hii ni baada ya James Mbatia ambaye ni mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu na JK.


Jina tu Mbatia halijakuwa kiuadilifu
 
Kauli ya Halima mdee kwenye kampeni za kugombea ubunge mwaka 2010 kuwa James Mbatia ni kibaraka wa ccm sasa imetimia. Pia waliompinga Kafulila sasa watakuwa waamefunguka macho na maono. Hii ni baada ya James Mbatia ambaye ni mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu na JK.

???????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Kitu nimegundua hap JF ndio maana watu hudiriki kusema Jf ni ya CHADEMA..kwasababu kila kitu hpa kinawekwa ki upinzan hasa wa chama changu cdm kwasababu watu tunashindwa kuelewa nini maana ya demokrasia ya kweli au kukuwa kwa demokrasia....hivi leo hii watu wengi huitolea marekan km nchi iliyopiga hatua ktk demokrasia....kwa mfano Obama pindi anagombea urais Hillary Clinton alikua mpinzani wake lakini sasa hivi huyu mama ndie waziri wa mambo ya nje kwan huyu mama kaathiri kitu gani kwa utendaji wa Obama na serikal yake??? Nasema hapa nikiwa na maana ya kwamba Kikwete kumteua Mbatia kuwa mbunge sio ajabu wala jambo geni hata kidogo....kwan angemteua wa chadema tungehoji??? au udp,nk..?? hapa anapanua wigo wa siasa na kuondoa siasa za mazoea na za chuki dhidi ya vyama vya siasa ili hata wa cdm akipata na akafanya hivyo watu wasione km ajabu...na ieleweke kumpa mbatia hiyo nafas sio kwamba ccm haina watu au wanachama makini sio hivyo hiyo ndio maana halisi ya siasa za kuvumiliana na kuheshimiana na kwa uwazi zaidi...naomba tubadilike SIASA HAINA ADUI WA RAFIKI WA KUDUMU''' naomba kuunga mkono hoja

Kwenye red, karibu vyombo vyote vya habari CCM imenunua, imemiliki. Hapa ndo tunaongea kwa uwazi kutoka kwenye chanzo.
Mengine, sicomment.
 
Acheni majungu mlitaka amchague Anton Komu?ambaye ameshindwa ata kujieleza vizuri bungeni! Tuache fitina Mh Mbatia anao uwezo mkubwa na ataimudu vizuri nafasi hiyo , kwa fikra mbovu kama hizo inamaana Raisi akimpa uwaziri Mh Mbowe,je Mh Mbowe nae atakuwa kibaraka?tafadhari acheni wivu na majungu yasiyo na tija kwa taifa letu,Mungu ibariki Tanzania,Mungu wabariki wateuliwa wote wafanye kazi kwa uaminifu na uadilifu mkubwa kwa manufaa ya taifa letu!
kwa manufaa ya taifa la uingereza

 
Rais akimpa Uwaziri Mbowe nae atakuwa kibaraka? Tafadhari acheni wivu na majungu yasiyo na tija kwa taifa letu.
panadol,
Mbowe sio cheap kiasi hicho. Mbowe na Wabunge wetu wa CDM watapewa Uwaziri na Rais wao alietokana na Chama chao. Kubali tu ukeweli Mbatia ni Kibaraka.

 
Last edited by a moderator:
kipi ambacho hujaelewa? hujaelewa just a sigle sentence vipi utaelewa kitabu kizima, tukuwekeee


Ndugu,

Sijaelewa nilichokiuliza. Ndiyo yawezekama ikawa ni sentesi moja lakini haileweki au inahitaji maelezo ya ziada. Kwani wewe hii unailewa 'hasipofika muda huu kesho mwambie aje baadae" Ndiyo muwekeee!
 
Makatibu wakuu wa CHADEMA na NCCR MAGEUZI walikwisha suluhisha hili jambo, sasa kwa nini mnaendeleza hoja mfu?
Ileje,
Walichosuluhishana ni ile kesi ya Uchaguzi. Hawamkusafisha Mbatia na Tuhuma za kutumiwa na CCM!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom