Protokali huwa inawasaidia nini Watanzania?

Protokali huwa inawasaidia nini Watanzania?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,684
Reaction score
91,592
Kuna watu sasa hivi wanajadili kama Polepole kutuma barua ya kujiuzulu mtandaoni amefuata protokali! Yani karne hata barua ya kujiuzulu yenye maudhui na sababu kama hii ya Polepole iwe siri ya serikali ?! Siasa za ujaama uchawara zimedumaza sana akili za Watanzania wengi.

Huwa nashangaa sana hata haya mambo na mijadala ya protokali kama maswali ya nani mkubwa kati IGP, CDF, DGIS au Mkurugenzi uhamiaji. Masuala ya mtu anaanza hotuba kwa kutaja msururu wa viongozi walipo kwenye mkutano. Haya yote ni ujima tu.
 
Huwa wanateuliwa tunaona mitandaoni...

Wakikimbia vyeo wana haki pia ya kutuambia mitandaoni...
 
Ndio maana tupo hapa tulipo Leo😁😁 ww rais anatembea na msafara wa magari mia 80 ,mwenge unatembezwa na magari zaid ya 80 🤔🤔..

HAKI ujinga uliopa hapa Tanzania n mwingi Sanaa 😀
 
Rais kama Donald Trump wa Marekani anatumia mitandao ya kijamii kufanya maamuzi makubwa tu, hii ya kujiuzulu kwa Humphrey Pole pole ni kwa nini izue zogo!!
 
Hayo mazaga hata Mimi yananikera sana, yanataja taja majina mwisho utasikia protokali imezingatiwa...upumbavu mtupu yaani. Unakuta majitu yenyewe hayawajibiki ni wezi waongo...wapo busy eti wanazingatia protokali🥴...wananipaga moto wale jamaaa
 
Siku hizi mambo yamebadilka taarifa muhimu za vifo tunazipata kupitia mitandao ya kijamii..
 
Rais kama Donald Trump wa Marekani anatumia mitandao ya kijamii kufanya maamuzi makubwa tu, hii ya kujiuzulu kwa Humphrey Pole pole ni kwa nini izue zogo!!
Watu wengi kwenye hii nchi bado wameganda kwenye siasa za ujamaa uchwara na ujima, huko ndio haya mambo ya protokali bado yana mashiko kihivyo.
 
Hayo mazaga hata Mimi yananikera sana, yanataja taja majina mwisho utasikia protokali imezingatiwa...upumbavu mtupu yaani. Unakuta majitu yenyewe hayawajibiki ni wezi waongo...wapo busy eti wanazingatia protokali🥴...wananipaga moto wale jamaaa
Mambo ya hovyo sana, ushamba, ujinga, ujamaa uchwara na ujima mtupu.
 
Kuna watu sasa hivi wanajadili kama Polepole kutuma barua ya kujiuzulu mtandaoni amefuata protokali! Yani karne hata barua ya kujiuzulu yenye maudhui na sababu kama hii ya Polepole iwe siri ya serikali ?! Siasa za ujaama uchawara zimedumaza sana akili za Watanzania wengi.

Huwa nashangaa sana hata haya mambo na mijadala ya protokali kama maswali ya nani mkubwa kati IGP, CDF, DGIS au Mkurugenzi uhamiaji. Masuala ya mtu anaanza hotuba kwa kutaja msururu wa viongozi walipo kwenye mkutano. Haya yote ni ujima tu.
Kama umesomea mambo ya leadership and management mambo ya itifaki hayawwezi kukuchanganya. Lakini kama una kisomo ch ngumbaru kama wewe LAZIMA uhoji kuhusu itifaki (protokali).
 
Kuna watu sasa hivi wanajadili kama Polepole kutuma barua ya kujiuzulu mtandaoni amefuata protokali! Yani karne hata barua ya kujiuzulu yenye maudhui na sababu kama hii ya Polepole iwe siri ya serikali ?! Siasa za ujaama uchawara zimedumaza sana akili za Watanzania wengi.

Huwa nashangaa sana hata haya mambo na mijadala ya protokali kama maswali ya nani mkubwa kati IGP, CDF, DGIS au Mkurugenzi uhamiaji. Masuala ya mtu anaanza hotuba kwa kutaja msururu wa viongozi walipo kwenye mkutano. Haya yote ni ujima tu.
What if alishamwandikia boss wake kabla ya kuweka mitandaoni
 
Back
Top Bottom