SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
- Thread starter
- #21
PointMisosi ni muhimu yatengwe maeneo ya wazi kote nchini tukapange foleni angalau hii wiki nzima tule tukiomboleza....
PointMisosi ni muhimu yatengwe maeneo ya wazi kote nchini tukapange foleni angalau hii wiki nzima tule tukiomboleza....
Kuna team wawe makini wanapohudhuria huo msiba itakuwa ni mtengo kwao wa kunaswa, Team Msoga ni kama ugonjwa wa ebola1. Atapigiwa mizinga?
2. Bendera ya Taifa je?
NB: utaratibu wa Misosi na vinywaji hapo Msibani upoje?
Sure, Ndugai alikuwa Canon wa ACT.usiende ukiwa chakali zingatia hilo mengine utayakuta palepale
posho na nyama je??Ndugu zangu tukutane Nyerere Square usafir wa Coaster upo tena Bure.
Kumbe sasa hata sababu za kuwa kwanini utiki,hauzijui sawasawa eehh?1. Atapigiwa mizinga?
2. Bendera ya Taifa je?
NB: utaratibu wa Misosi na vinywaji hapo Msibani upoje?
Siakuje Luca kwa ufafanuzi zaidi.p
posho na nyama je??