IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 802
Utanipa email.. Nikupe short tutorial, ila lazima ujue kujiongeza, kwa maana uwe tayari na angalau uelewa wa writing skills, language mastering etc.Mkuu naomba unifundishe jinsi ya kuandika please
Utanipa email.. Nikupe short tutorial, ila lazima ujue kujiongeza, kwa maana uwe tayari na angalau uelewa wa writing skills, language mastering etc.Mkuu naomba unifundishe jinsi ya kuandika please
Kama ni ww ni nguli wa proposal fursa hiyo mkuu, omba!Dogo weka kazi yako hapa tuone ubora, amesema kazi yako ilikua chini ya kiwango sasa weka hapa tuanzie kujadili hapo. Mimi pia ni nguli wa masuala ya Proposals.
Tufanye kashindwa kuleta. Haya mkuu, ebu tuwekee yako ww nguli sisi wengine hatujui chochotr kuhusu proposal, weka tujifunze baba.Acha ujinga dogo! Lete kazi yako hapa tuone kama kweli unajua hata kuandika hizo proposals. Hata kama ningekua mimi, kama unaandika UTUMBO nitaanzaje kukulipa?
Kazi za proposals zina changamoto nyingi, trust me, ni lazima iandikwe kiutaalam haswa na na sio kama unaandika BARUA TU. Hebu lete hata kazi yako moja tuone basi. Acha wivu wa kishamba dogo!
Subiri kuna darasa linakuja.Tufanye kashindwa kuleta. Haya mkuu, ebu tuwekee yako ww nguli sisi wengine hatujui chochotr kuhusu proposal, weka tujifunze baba.
Acha kulia lia dogo kama hiyo avatar yako. Jinga sana.Kama ni ww ni nguli wa proposal fursa hiyo mkuu, omba!