Proposal Writer -Jobs

Proposal Writer -Jobs

Ila kwa uzoefu wangu ktk kuandaa Write-ups kwa miaka 10 sasa, zipo proposals zilizokuwa nje ya vigezo vya donors (sio chini ya kiwango), na Zipo ambazo zilikuwa detailed and inclusive lakini bado ziliposhindanishwa zilifeli kupita... Sababu ya uwingi wa applicants.... So inawezekana mtu akakupa kazi hii akitegemea funds za kushindaniwa.. No matter how strong it is, inaweza isipite, ndipo mteja anakwambia sikulipi ilikuwa chini ya kiwango.... Lakini proposals zina malengo mengi, zingine ni kuvutia wabia ktk mradi, kushawishi taasisi ifanye mradi, kuomba Mabadiriko fulani, kusaidia kumanage mradi husika (guiding tool) nk. Hivyo kabla hujakubali kuandika jiuluze lengo la hiyo proposal... Wengi wanatumia kumobilise external funds..ambako kuna ushindani mkubwa.. Hivyo muandaaji jikite kujua kwanza malengo ya mfadhili, vigezo vya upimaji proposal husika... Ndipo uandike... Usikukurupuke kuandaa ilimradi umepewa na mteja uandae, be inquisitive kwa habari ya donor's criteria to fund.. Sababu wengine wana format zao kwa mradi husika.. Wewe ukang'ang'ania format ya kawaida, Proposal itafeli.
Afterall proposals zipo ambazo ni simple na complex kufatana na nature ya mradi.. Hivyo hata proposals zinakuwa simple au complex.
Ni hayo kidogo niyajuayo
 
Usipende Kuropoka kwa vitu usivyovielewa. Huyu jamaa huwa ana kampuni yake ambayo inafanya kazi ya kuandika proposal kwa NGO mbalimbali. Yani huwa anapelekewa kazi Na hizo NGOs alafu yeye anandika hizo proposal kulingana Na Nahitaji yao. Akishapokea hizo kazi ndiyo anatupa sisi tuzifanye. Hiyo kazi nimemfanyia kwa muda Wa kutosha Na wala hakuwahi kulalamika kuhusu weledi wangu
Hill swala la kusema eti taaluma yangu IPO chini anazuga tu baada ya kumuumbua humi. Kama wewe ni mtaalamu Wa mambo hayo ya kuandaa proposal Fulsa hiyo hapo jamaa ametangaza,changamkia,usitake kufanya mjadala uwe mrefu.
Acha ujinga dogo! Lete kazi yako hapa tuone kama kweli unajua hata kuandika hizo proposals. Hata kama ningekua mimi, kama unaandika UTUMBO nitaanzaje kukulipa?

Kazi za proposals zina changamoto nyingi, trust me, ni lazima iandikwe kiutaalam haswa na na sio kama unaandika BARUA TU. Hebu lete hata kazi yako moja tuone basi. Acha wivu wa kishamba dogo!
 
Ila kwa uzoefu wangu ktk kuandaa Write-ups kwa miaka 10 sasa, zipo proposals zilizokuwa nje ya vigezo vya donors (sio chini ya kiwango), na Zipo ambazo zilikuwa detailed and inclusive lakini bado ziliposhindanishwa zilifeli kupita... Sababu ya uwingi wa applicants.... So inawezekana mtu akakupa kazi hii akitegemea funds za kushindaniwa.. No matter how strong it is, inaweza isipite, ndipo mteja anakwambia sikulipi ilikuwa chini ya kiwango.... Lakini proposals zina malengo mengi, zingine ni kuvutia wabia ktk mradi, kushawishi taasisi ifanye mradi, kuomba Mabadiriko fulani, kusaidia kumanage mradi husika (guiding tool) nk. Hivyo kabla hujakubali kuandika jiuluze lengo la hiyo proposal... Wengi wanatumia kumobilise external funds..ambako kuna ushindani mkubwa.. Hivyo muandaaji jikite kujua kwanza malengo ya mfadhili, vigezo vya upimaji proposal husika... Ndipo uandike... Usikukurupuke kuandaa ilimradi umepewa na mteja uandae, be inquisitive kwa habari ya donor's criteria to fund.. Sababu wengine wana format zao kwa mradi husika.. Wewe ukang'ang'ania format ya kawaida, Proposal itafeli.
Afterall proposals zipo ambazo ni simple na complex kufatana na nature ya mradi.. Hivyo hata proposals zinakuwa simple au complex.
Ni hayo kidogo niyajuayo
Angalau wewe unaonesha una weledi na haya mambo. Uandishi wa proposal unahitaji mtu mwenye weledi wa kutosha na sio mwenye njaa ya kupata pesa tu.
 
Pia kuleta proposals mtu kafanya na kuiweka hapa wazi inahitaji kibali cha mwenye aliyeandikiwa proposal, mwenye project idea...
Hiyo ni kutaka kumsaidia si amekuja kuomba msaada hapa? Nimefanya analysis za proposals kwa zaidi ya miaka 17 sasa, kama umeandika kitu cha HOVYO nakueleza hapo hapo baada ya kuona kazi yako tu.
 
Uko sahihi kabisaaaaaa... Mtaalam nguli afanye nae
Kama mmedhulumiana pesa usitake kutuaminisha ni kwa sababu ya Proposals, nenda mkadaiane huko.

Kama unataka kutushirikisha kuhusiana na Proposals zako kuitwa DUNI, lete mojawapo hapa ili tuanzie mjadala hapo! Kuandika proposal sio KUJUA KIINGEREZA TU, ni zaidi ya hapo.
 
No kweli uandishi Wa proposal ni taaluma ndiyo maana ukaingia mkataba Na sisi kufanya kazi(tulikuwa watatu) Na tuliifanya kazi yako kiuadilifu Na kitaaluma kabisa. Hukuwahi kunilalamikia kuhusu uwezo wangu,ulikuwa unatuma kazi nafanya,cha kushangaza unafika mwisho Wa mwezi hutoi mshahara unatoa visingizio vingine kabisa(siyo vya kitaluma.). Alafu Leo unakuja hapa eti unatafuta watu Wa kukufanyia kazi.anyway mwenye kujalibu hiyo kazi ajaribu kuomba labda jamaa atakuwa amebadilika, lakini Mimi siwezi. Tuliingia mkataba kabisa Wa kimaandishi Na ushahidi Wa kazi nilizokua nakutumia through email address ninao,nilikuwa nauwezo kabisa Wa kukushitaki, lakini nimeamua kumuachia Mungu.
Unashindwaje kuleta angalau hata kazi yako moja MAKINI hapa ili tuone kama kweli ni PROPOSAL? Vijana msidandie mambo ambayo hamyawezi jamani, proposals zinaandikwa na WABOBEZI tena wa miaka DAHALI.
 
No kweli uandishi Wa proposal ni taaluma ndiyo maana ukaingia mkataba Na sisi kufanya kazi(tulikuwa watatu) Na tuliifanya kazi yako kiuadilifu Na kitaaluma kabisa. Hukuwahi kunilalamikia kuhusu uwezo wangu,ulikuwa unatuma kazi nafanya,cha kushangaza unafika mwisho Wa mwezi hutoi mshahara unatoa visingizio vingine kabisa(siyo vya kitaluma.). Alafu Leo unakuja hapa eti unatafuta watu Wa kukufanyia kazi.anyway mwenye kujalibu hiyo kazi ajaribu kuomba labda jamaa atakuwa amebadilika, lakini Mimi siwezi. Tuliingia mkataba kabisa Wa kimaandishi Na ushahidi Wa kazi nilizokua nakutumia through email address ninao,nilikuwa nauwezo kabisa Wa kukushitaki, lakini nimeamua kumuachia Mungu.

Ninavyojua mimi proposals huandikwa na wadau kwa pamoja katika michakato ya Participatory kama PRA ama PPS. Haiandikwi na mtu mezani peke yake kama ile ya kiutafiti vyuoni. Wangekuwa wanatafuta consultants wa kuendesha mazoezi hayo tungeelewa.
 
Rafiki, acha kutuchafua bwana. Kama umeandika Proposal "dhaifu" isiyo na tija, italipwaje? Ikumbukwe sio kila mtu anaweza kuandika hiyo proposal, ni Taaluma hiyo, ndio maana tupo hapa kusaka Wenye weredi na mambo hayo!
Kabisa kabisa Mkuu, hawa WAVAMIZI wa Taaluma za Watu imekua shida sana miaka hii. Kuna kazi nyingine hazifanyiki kwa majiribio kama michezo ya BIKO au TATUMZUKA.
 
Ninavyojua mimi proposals huandikwa na wadau kwa pamoja katika michakato ya Participatory kama PRA ama PPS. Haiandikwi na mtu mezani peke yake kama ile ya kiutafiti vyuoni. Wangekuwa wanatafuta consultants wa kuendesha mazoezi hayo tungeelewa.
Kabisa Mkuu
 
No kweli uandishi Wa proposal ni taaluma ndiyo maana ukaingia mkataba Na sisi kufanya kazi(tulikuwa watatu) Na tuliifanya kazi yako kiuadilifu Na kitaaluma kabisa. Hukuwahi kunilalamikia kuhusu uwezo wangu,ulikuwa unatuma kazi nafanya,cha kushangaza unafika mwisho Wa mwezi hutoi mshahara unatoa visingizio vingine kabisa(siyo vya kitaluma.). Alafu Leo unakuja hapa eti unatafuta watu Wa kukufanyia kazi.anyway mwenye kujalibu hiyo kazi ajaribu kuomba labda jamaa atakuwa amebadilika, lakini Mimi siwezi. Tuliingia mkataba kabisa Wa kimaandishi Na ushahidi Wa kazi nilizokua nakutumia through email address ninao,nilikuwa nauwezo kabisa Wa kukushitaki, lakini nimeamua kumuachia Mungu.
Mkuu uko dar ??? Kama uko dar fungua kaofisi utapata watu naonaga jamaa zangu wanapiga pesa tuu kwa kazi hiyo
 
Mimi sijasomea masuala hayo ya Project lakini nipo vizuri kwenye kuandika hizo Proposals, je naruhusiwa kutuma maombi jamani?
 
Kweli Vyuma vimekaza haswaa. Wadogo zangu msikimbilie mambo yanayo wazidi ubavu, ujasiri sio kufanya lolote bali kufanya kilicho ndani ya uwezo wako kwa umakini wa hali ya juu mno.
 
Nadhani kwa mabishano haya, dhahiri kuna cha kujifunza.. Mtoa Mada na aliyereact negatively.. Wametusaidia sana ktk field hii, binafsi changamoto nimeziona kupitia comments hizi, zitanisaidia kuboresha kazi hii.
Nipo kimara mwisho with registered business name : IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS

Kwa wale tulio ktk field vema kuendelea kushauriana positively ili wateja wetu wanufaike... Nasisitiza muulize vizuri Mteja wako anahitaji proposal ya namna gani, anapeleka wapi.. Ikiwa kuna donor fulani its better ukachukua mda kumstudy huyo donor before justifying yourself kumfanyia Mteja wako... You will endup like hell.. Hata ukichukua pesa yake na yeye asifanikiwe haitakupa credit mbeleni... Na wewe Mteja acha kukimbilia kutaka kufanya project fulani madam imeandikwa "call for proposal" hakikisha una idea haswa, pia you yourself qualify for it... Na kwa wanaojaribu kuandika hizi proposals just for money sake, anacopy na kupaste kazi za wengine, kumbuka proposal lazima iwe "genuine"
Wewe ndo unawaharibia wengine...unadhani unapenda Sana Basi katrain zaidi au omba kujiunga na wazoefu na wenye weledi uweze kugain enough skills..... Mwisho kwa "dalali" yeyote wa kazi hii, unapata kazi sehemu unajifanya unaelewa kazi hii, unaaminiwa kumbe unakuja kutafuta Wabobezi bila ufahamu mkubwa.. Mwisho ulete lawama.. Acha au boresha utafutaji wako.

Ijumaa njema
 
Nadhani kwa mabishano haya, dhahiri kuna cha kujifunza.. Mtoa Mada na aliyereact negatively.. Wametusaidia sana ktk field hii, binafsi changamoto nimeziona kupitia comments hizi, zitanisaidia kuboresha kazi hii.
Nipo kimara mwisho with registered business name : IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS

Kwa wale tulio ktk field vema kuendelea kushauriana positively ili wateja wetu wanufaike... Nasisitiza muulize vizuri Mteja wako anahitaji proposal ya namna gani, anapeleka wapi.. Ikiwa kuna donor fulani its better ukachukua mda kumstudy huyo donor before justifying yourself kumfanyia Mteja wako... You will endup like hell.. Hata ukichukua pesa yake na yeye asifanikiwe haitakupa credit mbeleni... Na wewe Mteja acha kukimbilia kutaka kufanya project fulani madam imeandikwa "call for proposal" hakikisha una idea haswa, pia you yourself qualify for it... Na kwa wanaojaribu kuandika hizi proposals just for money sake, anacopy na kupaste kazi za wengine, kumbuka proposal lazima iwe "genuine"
Wewe ndo unawaharibia wengine...unadhani unapenda Sana Basi katrain zaidi au omba kujiunga na wazoefu na wenye weledi uweze kugain enough skills..... Mwisho kwa "dalali" yeyote wa kazi hii, unapata kazi sehemu unajifanya unaelewa kazi hii, unaaminiwa kumbe unakuja kutafuta Wabobezi bila ufahamu mkubwa.. Mwisho ulete lawama.. Acha au boresha utafutaji wako.

Ijumaa njema
Nawewe umekuja kujitangaza hapa? Halafu unaita wenzio MADALALI? Kampuni haipaswi kutafuta Wataalam wenye weledi wa hali ya juu? Hopeless kabisa.

Ninyi ndio mnaosababisha hii TAALUMA yetu Watu waichukulie poa na kudhani KILA MTU anaweza kuandika tu.
 
Kweli Vyuma vimekaza haswaa. Wadogo zangu msikimbilie mambo yanayo wazidi ubavu, ujasiri sio kufanya lolote bali kufanya kilicho ndani ya uwezo wako kwa umakini wa hali ya juu mno.
Kabisa Kabisa Mkuu, hawa WAVAMIZI wa Taaluma wamefikia hatua mbaya sana sasa. Kuandika proposal ni Taaluma inayohitaji weledi wa hali ya juu mno. Ukiandika hovyo hovyo unaweza hata kuharibu IMAGE ya Taasisi husika kwa Wafadhili.
 
Nawewe umekuja kujitangaza hapa? Halafu unaita wenzio MADALALI? Kampuni haipaswi kutafuta Wataalam wenye weledi wa hali ya juu? Hopeless kabisa.

Ninyi ndio mnaosababisha hii TAALUMA yetu Watu waichukulie poa na kudhani KILA MTU anaweza kuandika tu.
Ila wewe ndg una maneno makali sana, hata hujanielewa ktk comment yangu, rudia tena. Hiiii pia inaonyesha weakness za wasomi wengi Tz. Comment zako zote inaonyesha you want to lead the thread na kwamba uko more knowledged on the field, yawezekana, but try to show your neutrality!
 
Ila wewe ndg una maneno makali sana, hata hujanielewa ktk comment yangu, rudia tena. Hiiii pia inaonyesha weakness za wasomi wengi Tz. Comment zako zote inaonyesha you want to lead the thread na kwamba uko more knowledged on the field, yawezekana, but try to show your neutrality!
Wewe kijana acha kuleta ujanja ujanja hapa. Mimi nikitaka kuelezea umahiri wangu siwezi kufanyia kwenye tangazo la mtu, nitafanya hivyo kwa kuanzisha uzi juu ya hilo tu.
Ulichokifanya wewe ni biashara uchwara. Idiot kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom