Proposal Writer -Jobs

Proposal Writer -Jobs

Wewe kijana acha kuleta ujanja ujanja hapa. Mimi nikitaka kuelezea umahiri wangu siwezi kufanyia kwenye tangazo la mtu, nitafanya hivyo kwa kuanzisha uzi juu ya hilo tu.
Ulichokifanya wewe ni biashara uchwara. Idiot kabisa.
Unajiamini eh, huna busara, hata kama mtu kakosea huwa hatujibu hivyo, regardless imekutouch vipi. Kubali tu thats your weakness brother! Hata kama nimejitangaza that was only to show that mawazo yetu yanatokana na sisi kuwa ktk field. Wewe imekutouch nini unaanza kuhash kihivyo! Please hatuko hapa kutoleana maneno upuuzi kisa comment, tulikuwa tunachangia reaction post ya mwenzetu... Hakuna kilichoharibika sanasana tumejifunza mengi...
 
Unajiamini eh, huna busara, hata kama mtu kakosea huwa hatujibu hivyo, regardless imekutouch vipi. Kubali tu thats your weakness brother! Hata kama nimejitangaza that was only to show that mawazo yetu yanatokana na sisi kuwa ktk field. Wewe imekutouch nini unaanza kuhash kihivyo! Please hatuko hapa kutoleana maneno upuuzi kisa comment, tulikuwa tunachangia reaction post ya mwenzetu... Hakuna kilichoharibika sanasana tumejifunza mengi...
Hopeless kabisa
 
Nimewaambia Vijana hawa wasijaribu kuchafua taaluma yetu, hawajui chochote kwenye kuandika hizo proposals. Nimewaambia walete hapa hizo wanazoziita Proposals tuanzie mjadala hapo.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Nani mjuaji kati yenu?
Nilitegemea mjuzi amwage hapa proposal yake iliyo-compitent bila woga na wajuzi wenzake waiboreshe au waikosoe.
Kwa mabishano haya maneno tu, tuta-assume wote walewale ambayo siyo kesi.
Sawa kabisa, huu ni ushauri ulitolewa kwa waliokuwa wanareact negatively post ya mtoa post! Sisi wengine tukaingilia mgongano wao ili kucalm down malumbano yao... Mimi nikawa neutral lkn nikionyesha ufahamu wangu atleast sababu nafanya pia... Ila sijakutana na hiyo situation.. Nikatoa ushauri based on the situation ya mabishano (pitia comment yangu ya ushauri) ...ndg hapo juu akanijibu kwa lugha mbaya ilihali nae ni mchangiaji tu.. Sijajua tatizo lake lilikuwa nini, ilihali thread ya mtu mwingine and he stands uncorrected! But hakuna shida
 
Nimewaambia Vijana hawa wasijaribu kuchafua taaluma yetu, hawajui chochote kwenye kuandika hizo proposals. Nimewaambia walete hapa hizo wanazoziita Proposals tuanzie mjadala hapo.
Tukiwa JF sote ni member, umri unabaki kuwa hidden, kuhusu taaluma, inakuwa justified na facts! Kama wao ni "vijana wanaochezea taaluma zenu" wewe unaweza kuwaonesha yakwako au ukatoa shule stahiki kuliko kuishia kupinga mawazo ya wengine bila evidences! Nadhani hakuna haja ya kutafuta ngazi pasipo ukuta
 
Sawa kabisa, huu ni ushauri ulitolewa kwa waliokuwa wanareact negatively post ya mtoa post! Sisi wengine tukaingilia mgongano wao ili kucalm down malumbano yao... Mimi nikawa neutral lkn nikionyesha ufahamu wangu atleast sababu nafanya pia... Ila sijakutana na hiyo situation.. Nikatoa ushauri based on the situation ya mabishano (pitia comment yangu ya ushauri) ...ndg hapo juu akanijibu kwa lugha mbaya ilihali nae ni mchangiaji tu.. Sijajua tatizo lake lilikuwa nini, ilihali thread ya mtu mwingine and he stands uncorrected! But hakuna shida
Nimesoma tangu mwanzo wa thread: hoja yangu ni kutaka kumaliza mabishano (ambayo hata hivo siyo lazima) ambayo kila mmoja anavuta kwake. Nimeusoma msimamo wako kuwa pamoja na uzoefu ulionao, upo tayari kufundisha na kufundishwa ambalo ni jambo jema! Hata hivo pengine hauko tayari kufundisha au kutoa ufahamu wako kwasababu unazozijua, ndiyo maana Bosco ang'ang'ana uweke moja ya writeups ili atoe maoni yake.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Nimesoma tangu mwanzo wa thread: hoja yangu ni kutaka kumaliza mabishano (ambayo hata hivo siyo lazima) ambayo kila mmoja anavuta kwake. Nimeusoma msimamo wako kuwa pamoja na uzoefu ulionao, upo tayari kufundisha na kufundishwa ambalo ni jambo jema! Hata hivo pengine hauko tayari kufundisha au kutoa ufahamu wako kwasababu unazozijua, ndiyo maana Bosco ang'ang'ana uweke moja ya writeups ili atoe maoni yake.
Siwezi toa sample ya kazi zangu sababu sio mimi niliyembishia mleta tangazo... Nimeshiriki kumshauri huyo ndugu kulingana na alivyo mchallenge mtoa post... So sijabishia mtoa post wala mbishani wake (ambao wanaonekana wanajuana before... Ila ushauri wa huyu ndg kwa mbishani wa mtoa post akasema alete kazi yake hapa ashauriwe kuona how proffesional it is! ) ,Mimi hapo naingiaje?
 
Tukiwa JF sote ni member, umri unabaki kuwa hidden, kuhusu taaluma, inakuwa justified na facts! Kama wao ni "vijana wanaochezea taaluma zenu" wewe unaweza kuwaonesha yakwako au ukatoa shule stahiki kuliko kuishia kupinga mawazo ya wengine bila evidences! Nadhani hakuna haja ya kutafuta ngazi pasipo ukuta
Sio jambo jema kutangaza biashara yangu kwenye tangazo la watu hapa, nadhani itabidi nianzishe uzi maalum kwaajili ya hii TAALUMA ADHIMU. TAALUMA ambayo ikitumiwa vizuri inaweza kubadilisha maisha ya MAMILIONI YA WATANZANIA..

Huko kwenye uzi wangu nitaweka sampuli za PROPOSALS ambazo ninaamini kupitia kwayo nitaelimisha Vijana wengi mno, na pia kujengea uwezo wengine ili tuwe na waandishi wa Proposals wenye kujiamini na wenye kufanya kazi zao kwa WELEDI WA HALI YA JUU MNO.
 
Nobody owns hii profession,... Sisi wengine we learn, gain and then practice. Kwaivo ushauri huo ni mzuri Mkuu. JF ni platform inayotusaidia ku experience mambo mhimu ktk harakati za maisha yetu, sio sehemu ya kudhihaki wengine kwa kigezo cha weledi mkubwa zaidi kupita wengine, hata kukosoa mwenzio vema kukawa positive kukichagizwa na lugha nzuri. Naamini kabisa tunajifunza mengi sana kupitia posts na comments zake, ilimradi ziwe zinazojenga. Pia kwa jinsi tulivyo humu si vema kumdharau mtu yeyote kwakuwa humu hatujui vizuri "Who is who".
Sorry Kama kuna mahali nimemdhihaki mtu tangia nimeanza kucomment hii thread!
 
Sio jambo jema kutangaza biashara yangu kwenye tangazo la watu hapa, nadhani itabidi nianzishe uzi maalum kwaajili ya hii TAALUMA ADHIMU. TAALUMA ambayo ikitumiwa vizuri inaweza kubadilisha maisha ya MAMILIONI YA WATANZANIA..

Huko kwenye uzi wangu nitaweka sampuli za PROPOSALS ambazo ninaamini kupitia kwayo nitaelimisha Vijana wengi mno, na pia kujengea uwezo wengine ili tuwe na waandishi wa Proposals wenye kujiamini na wenye kufanya kazi zao kwa WELEDI WA HALI YA JUU MNO.
Wazo jema, kwakuwa wengine watajifunza pia.
 
Nobody owns hii profession,... Sisi wengine we learn, gain and then practice. Kwaivo ushauri huo ni mzuri Mkuu. JF ni platform inayotusaidia ku experience mambo mhimu ktk harakati za maisha yetu, sio sehemu ya kudhihaki wengine kwa kigezo cha weledi mkubwa zaidi kupita wengine, hata kukosoa mwenzio vema kukawa positive kukichagizwa na lugha nzuri. Naamini kabisa tunajifunza mengi sana kupitia posts na comments zake, ilimradi ziwe zinazojenga. Pia kwa jinsi tulivyo humu si vema kumdharau mtu yeyote kwakuwa humu hatujui vizuri "Who is who".
Sorry Kama kuna mahali nimemdhihaki mtu tangia nimeanza kucomment hii thread!
Nikiona proposal yako tu, naweza kukuambia kama UNAJUA au HUJUI kitu.
 
Nikiona proposal yako tu, naweza kukuambia kama UNAJUA au HUJUI kitu.
Personally siku nikikwama nitakuconsult.... But for now am good! Sijalalamika, sijalalamikiwa! since 2011, nimefanya proposal assignments kadhaa, na wateja waliridhika na zilisaidia ktk malengo yao.
 
Ila wewe ndg una maneno makali sana, hata hujanielewa ktk comment yangu, rudia tena. Hiiii pia inaonyesha weakness za wasomi wengi Tz. Comment zako zote inaonyesha you want to lead the thread na kwamba uko more knowledged on the field, yawezekana, but try to show your neutrality!
Inaonekana huyu Ndg Bosco Ntaganda either ni muhusika Wa moja kwa moja au ana maslahi mapana katika hiyo kampuni iliyotangaza kazi. Katika utetezi wake kwa hiyo kampuni sijaona sehemu yoyote inayojionyesha kwamba amefanya utafiti Wa kutosha Wa kuitoa kampuni katika shutuma hii, lakini anataka kuwaaminisha watu kwamba hiyo kampuni haina matatizo,ila wenye matatizo ni sisi. Tunaomba ndugu Bosco ingekuwa vizuri uka declare interest yako katika hiyo kampuni kabla haujaendelea kuitetea. Isije ikawa mwenye kampuni ameamua kujitetea kwa kupitia mlango Wa nyuma.
 
Nadhani kwa mabishano haya, dhahiri kuna cha kujifunza.. Mtoa Mada na aliyereact negatively.. Wametusaidia sana ktk field hii, binafsi changamoto nimeziona kupitia comments hizi, zitanisaidia kuboresha kazi hii.
Nipo kimara mwisho with registered business name : IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS

Kwa wale tulio ktk field vema kuendelea kushauriana positively ili wateja wetu wanufaike... Nasisitiza muulize vizuri Mteja wako anahitaji proposal ya namna gani, anapeleka wapi.. Ikiwa kuna donor fulani its better ukachukua mda kumstudy huyo donor before justifying yourself kumfanyia Mteja wako... You will endup like hell.. Hata ukichukua pesa yake na yeye asifanikiwe haitakupa credit mbeleni... Na wewe Mteja acha kukimbilia kutaka kufanya project fulani madam imeandikwa "call for proposal" hakikisha una idea haswa, pia you yourself qualify for it... Na kwa wanaojaribu kuandika hizi proposals just for money sake, anacopy na kupaste kazi za wengine, kumbuka proposal lazima iwe "genuine"
Wewe ndo unawaharibia wengine...unadhani unapenda Sana Basi katrain zaidi au omba kujiunga na wazoefu na wenye weledi uweze kugain enough skills..... Mwisho kwa "dalali" yeyote wa kazi hii, unapata kazi sehemu unajifanya unaelewa kazi hii, unaaminiwa kumbe unakuja kutafuta Wabobezi bila ufahamu mkubwa.. Mwisho ulete lawama.. Acha au boresha utafutaji wako.

Ijumaa njema
Nadhani kwa mabishano haya, dhahiri kuna cha kujifunza.. Mtoa Mada na aliyereact negatively.. Wametusaidia sana ktk field hii, binafsi changamoto nimeziona kupitia comments hizi, zitanisaidia kuboresha kazi hii.
Nipo kimara mwisho with registered business name : IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS

Kwa wale tulio ktk field vema kuendelea kushauriana positively ili wateja wetu wanufaike... Nasisitiza muulize vizuri Mteja wako anahitaji proposal ya namna gani, anapeleka wapi.. Ikiwa kuna donor fulani its better ukachukua mda kumstudy huyo donor before justifying yourself kumfanyia Mteja wako... You will endup like hell.. Hata ukichukua pesa yake na yeye asifanikiwe haitakupa credit mbeleni... Na wewe Mteja acha kukimbilia kutaka kufanya project fulani madam imeandikwa "call for proposal" hakikisha una idea haswa, pia you yourself qualify for it... Na kwa wanaojaribu kuandika hizi proposals just for money sake, anacopy na kupaste kazi za wengine, kumbuka proposal lazima iwe "genuine"
Wewe ndo unawaharibia wengine...unadhani unapenda Sana Basi katrain zaidi au omba kujiunga na wazoefu na wenye weledi uweze kugain enough skills..... Mwisho kwa "dalali" yeyote wa kazi hii, unapata kazi sehemu unajifanya unaelewa kazi hii, unaaminiwa kumbe unakuja kutafuta Wabobezi bila ufahamu mkubwa.. Mwisho ulete lawama.. Acha au boresha utafutaji wako.

Ijumaa njema
Ndugu yangu ipilimo Mimi Huwa nazingatia vigezo vyote vya kumuandikia MTU proposal, kwanza ni lazima usome Na kuelewa guedline/criteria za donor unayemuomba ufadhili kama zinaendana Na anachotaka MTEJA wako. Vilevile ni lazima upate profile ya MTEJA uone kama inaendana Na mahitaji ya Donor. Mala nyingi wafadhili wanapenda kufadhili miradi kupitia mashirika/NGOs zilizoanzishwa kwa malengo yanayofana Na kile walichokusudia kukifadhili(ingawa siyo kwa donors wote). Kwa hiyo kunamambo mengi ya kuyazingatia kabla haujaanza kuandaa proposal siyo kukurupuka.
 
Back
Top Bottom