Nadhani kwa mabishano haya, dhahiri kuna cha kujifunza.. Mtoa Mada na aliyereact negatively.. Wametusaidia sana ktk field hii, binafsi changamoto nimeziona kupitia comments hizi, zitanisaidia kuboresha kazi hii.
Nipo kimara mwisho with registered business name : IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS
Kwa wale tulio ktk field vema kuendelea kushauriana positively ili wateja wetu wanufaike... Nasisitiza muulize vizuri Mteja wako anahitaji proposal ya namna gani, anapeleka wapi.. Ikiwa kuna donor fulani its better ukachukua mda kumstudy huyo donor before justifying yourself kumfanyia Mteja wako... You will endup like hell.. Hata ukichukua pesa yake na yeye asifanikiwe haitakupa credit mbeleni... Na wewe Mteja acha kukimbilia kutaka kufanya project fulani madam imeandikwa "call for proposal" hakikisha una idea haswa, pia you yourself qualify for it... Na kwa wanaojaribu kuandika hizi proposals just for money sake, anacopy na kupaste kazi za wengine, kumbuka proposal lazima iwe "genuine"
Wewe ndo unawaharibia wengine...unadhani unapenda Sana Basi katrain zaidi au omba kujiunga na wazoefu na wenye weledi uweze kugain enough skills..... Mwisho kwa "dalali" yeyote wa kazi hii, unapata kazi sehemu unajifanya unaelewa kazi hii, unaaminiwa kumbe unakuja kutafuta Wabobezi bila ufahamu mkubwa.. Mwisho ulete lawama.. Acha au boresha utafutaji wako.
Ijumaa njema