kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
private ndioUmepata shule.
private ndioUmepata shule.
Kwa wale walimu unapoenda kuomba kazi inabidi umshawishi muajiri nini utafanya kukuza ufauru au thamani yako ipi.
Tumekuandalia Proposal ya Approach ya kuinua ufauru wa wanafunzi utayo muonesha muajiri nini utafanya katika nyanja kadhaa.
Unapofika kwa mtaaluma au mkuu wa shule unamoigisha somo between line Approach zilizo kwenye proposal.
Nauza proposal inauzwa 2000 ina page 3.
Kuna miwatu munauzi humu imekalia ubakita tu.
Ufaulu sio ufauruKwa wale walimu unapoenda kuomba kazi inabidi umshawishi muajiri nini utafanya kukuza ufauru au thamani yako ipi.
Tumekuandalia Proposal ya Approach ya kuinua ufauru wa wanafunzi utayo muonesha muajiri nini utafanya katika nyanja kadhaa.
Unapofika kwa mtaaluma au mkuu wa shule unamoigisha somo between line Approach zilizo kwenye proposal.
Nauza proposal inauzwa 2000 ina page 3.
🤣 🤣 🤣 nimejikuta nacheka kwa balaa, yaan kweli mkuu umeshindwa kuwashawishi JF Thinkers ila bado unataka wakuamini!Kuna miwatu munauzi humu imekalia ubakita tu.
jamaa kasema proposal mkuu!Ni scheme of work au..?