FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
Haya wew mrwanda hebu tuambie kwanza wew unamiliki nini?Hahah wabongo bwana yani mtu kumiliki X5 ya mwaka alfumbili samsing na kupanda business class ndo utajiri ndio utajiri wa kupindukia,ebu acheni masiara,huyo hata kwenye utajiri wa kawaida tu hayupo
Duh! Hapo ulipoingiza Forex ndo tumepishana, kwingine nakuunga mkonoNaomba niongee kile nilicho perceive toka kwenye hizo picha, kinaweza kikawa kweli au uongo, ila ndio perception niliyoipata.
1.) Ni shoga / mxenge
2.) Ana u- gangster ndani yake (anatumia bangi kupata confidence)
3.) Ana show-off the little fun he gets aonekane 'yesu' ametenda kwenye maisha yake.
4.).Ana show-off magari ya kuazima ili kuvutia 'misukule' kama yule wa forex.
Naye shetani akamwambia tena Kristo... NISUJUDIE nami nitakupa milki yote chini ya mbingu... Bwana Yesu akamjibu akimwambia... Ondoka kwangu shetani.....Kijana huyu wa makamo ambaye ni mtumishi mungu mwenye utajiri wa kupindukia na anayegawa pesa na misaada huku akiwa na showoff sana kwenye mitandao nauliza ni nani? Na huu utajiri ameutoa wapi? Anaelimu gani? Kwanini anafanya mambo kwa sifa? Anatoa misaada huku anawarecord maskini? Je ni mtumishi kweli au kuna mengine nyuma ya pazia?
Sadaka zenuMi mwenyewe mgeni
Pesa katoa wapi
Nimekuelewa mkuuNaye shetani akamwambia tena Kristo... NISUJUDIE nami nitakupa milki yote chini ya mbingu... Bwana Yesu akamjibu akimwambia... Ondoka kwangu shetani.....
Aise nimekuja spidi kwa pupa lengo tu nione comment yako ili nijiridhishe na nachowaza kama kweli...kumbe niko right !Naye shetani akamwambia tena Kristo... NISUJUDIE nami nitakupa milki yote chini ya mbingu... Bwana Yesu akamjibu akimwambia... Ondoka kwangu shetani.....
Mfuas wake auAcheni wivu kilamtu atabeba mzigo wake mwenyewe
Amen My mtaniNaye shetani akamwambia tena Kristo... NISUJUDIE nami nitakupa milki yote chini ya mbingu... Bwana Yesu akamjibu akimwambia... Ondoka kwangu shetani.....
Ni tawi lake hiloHana connection kweli na Prophet Bushiri wa SA maana inawezekana ndio akawa anasimamia tawi lake kwa TZ
Huyu atakuwa miongoni mwa watumishi wa uongo ambao Kristo alitabiri watatokea wakati wa mwisho ajabu ni watu kushindwa kuwang'amua na hivyo kuvutwa kwao
Ni vizuri kuuliza kazitoa wapi ili na sie tukazisake huko. Sio mbaya tukipeana mateknics ya kutafuta pesaMnaouliza katoa wapi 'Mafwedha' kama kweli anayo mnajielewa kweli?
Jibu ni kuwa kazitafuta.
Kafanyafanyaje?
Inakuhusuje wewe?
Wanaume tunajadili Dili za kupiga Pesa.
Sio yule kapata wapi,
Ili iweje, Wewe unahoji kama nani?
Huyo jamaa mimi hua simuelewi ,yy na wenzie wote weny utajiri wanaooneshaMuongeze GeorDavie nabii wao mkuu.