Mfa maji haachi kutapatapa. Halafu mbona muda mwingi nikiangalia Azam Tv naona promo ya Siku ya Wananchi pekee kwenye kisimbuzi chao!!
Kulikoni sioni promo ya Mbumbumbu Day!!! Azam Media ndiyo Baba Lao!! Mkimuendekeza Moo atawapeleka shimoni! Shauri zenu. Usikute amewadanganya mrushe matangazo yenu kupitia Dstv isiyo angaliwa na Watanzania walio wengi, kama ilivyo kwa Azam.
Binafsi sijawahi shawishiwa na Manara nitaenda Taifa mwenyewe kwa sababu naukubali uongozi na Simba inavyoupiga mwingi
Kwa misimu minne mfululizo wao wanapiga blaablaaa porojo fitna,majungu na propaganda dhidi ya ,lakini huwa anaibuka kidedea mwishoni mwa msimu , UtOPoLo mnafeli Sana,wamewekeza nguvu kubwa kwenye propaganda kuliko uwanjani.Hizo ndio mbinu zenu UTOPOLO kutuvuruga ila ubingwa msahau nyie wacheza Ndombolo.
Yaani ni sawa na kutamani kuona siku moja ccm ikisimama yenyewe pasipo kuwategemea polisi na tume ya uchaguzi! Itaangukia pua bila shaka!Natamani Simba ifikie hatua ya kutomtegemea yeyote.
Na ndiyo maana Ismail Aden Rage, Mwenyekiti wenu Mstaafu aliwaita mbumbumbu! Vipi mkikosa hiyo burudani na hayo makombe! Bila shaka mtapiga tena kelele za kumkataa huyo Moo wenu!!Watajua wenyewee sisi mashabiki wa simba tunataka burudan tu na makombe
Wewe Utopolo huijui biashara ya mpira.Nyamaza tu.Mfa maji haachi kutapatapa. Halafu mbona muda mwingi nikiangalia Azam Tv naona promo ya Siku ya Wananchi pekee kwenye kisimbuzi chao!!
Kulikoni sioni promo ya Mbumbumbu Day!!! Azam Media ndiyo Baba Lao!! Mkimuendekeza Moo atawapeleka shimoni! Shauri zenu. Usikute amewadanganya mrushe matangazo yenu kupitia Dstv isiyo angaliwa na Watanzania walio wengi, kama ilivyo kwa Azam.
Kabla ya uwepo wa manara Simba haikuwah kujaza uwanja?Acha uongo, Manara japo Mimi binafsi sijawahi penda namna anavyo zungumza ila alikua anaushawishi binafsi ku ujaza uwanja. Ata usipo ujaza Ila watu uwa wakutosha.
Mashabiki wa Simba ni watu wazima japo u mbumbumbu ni sehemu ya DNA yao wanajua mchango wa Manara katika hamasa, Ule ni uwezo wake Haji.
Kwasasa amesha ondoka mliobaki onyesheni uwezo wenu katika kuhamasisha msitafute huruma na kumfitinisha Haji na Wanasimba.
Kama mnafikiri Haji hakua na mchango wowote katika kuhamasisha mashabiki nyinyi mliobaki tumieni ushawishi au acheni kwakua mashabiki watajaa bila hamasa.