Propaganda za CCM ndani ya ch 10

Yaani Channel 10 wanamwenzi mwandishi wao kwa kuwapatia Magmba airtime kuverify ignorance na brutality ya CCM??? Tuisusie Channel 10 kwa upuuzi huo!!
 
Mimi nafikiri hawa watawala wetu wanajiandaa kuhama nchi. Ujinga na uongo wanaousema hazionyeshi bado wana hata chembe ya Tanzania kwenye mioyo yao. Akili zao zimewaisha kabisa. Cha ajabu wanafikiri tuna akili ndogo kiasi hicho mpaka tuamini uongo wanaousema.
 
Nimshukuru Nchimbi maana leo ndio nimejua vifo na propaganda zilizoko nyuma ya chadema kuhusu vifo vilivyotokea kwenye mikutano! Ameongea mengi lakini hakugusa kabisa kuwa polisi wamehusika kumuuwa Mwangosi! Kama kawaida kauli niza jumla jumla, eti "Chadema wajitasmini upya maana mikutano yao mitatu WAMEUWA WATU WATATU.

Kauli zake ukiziangalia kwa undani hazitofautiani sana na kauli za Shigella alipo sema kuwa "Hawa ni chadema tu, mbona kila siku polisi wapo morogoro mauwaji hayakutokea?" Lakini pia kauli zake na kauli kwenye tamko la Nape hazina tofauti sana maana zote zinalaumu Chadema badala ya wahusika halisi walio uwa raia wasio kuwa na hatia.

Kauli iliyonifanya ni mdharau Nchimbi. "Hakukuwa na haja ya chadema kufanya mkutano wakati zoezi la sensa linaendelea" lakini wakati huohuo hakutoa kauli kuwa ccm siku hiyohiyo walizindua kampeni bububu wakati chadema wakifanya mkutano wa ndani Iringa, hakusema kuwa chaguzi za ccm zimefanyika ikiwa ni pamoja na kuibuka kwa vurugu uchaguzi wa uv ccm wilaya ya Kinondoni.

Akiendelea kumwaga propaganda kuwa chadema walizuiwa kufanya mkutano akasahau kusema kuwa siku hiyohiyo Fiesta ilinguruma Mwanza na ikalondwa na polisi kama ulivyo llindwa uzinduzi wa bububu.

Kwa haya machache kama unafikiri kwa akili za kawaida bila kuwa na shahada za udaktari kama Nchimbi lazima upate jibu moja kubwa kuhusiana na propaganda zake na wenzake (Nape na Shigella), yaani mauwaji + kauli zao (nchimbi+nape+shigella) + zile tuhuma alizotoa Dr Slaa kuwa kuna mbinu chafu za kuvuruga mikutano na taswira ya chadema = Mpango maalumu wa kuiangamiza chadema.


Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.

Swali la msingi ambalo nilitegemea Mwandishi aliyekuwa anaongea naye angemuuliza ni Hilo katazo la mikutano lilikuwa la CDM tu?akimpa mifano ya bububu,Mwanza na chaguzi za CCM.
 
Shigela, nape, mwandosya, nchimbi nk woote wanasema cdm wanaua watu! Kweli hamna aliyenusurika ccm! Wote akil 100% -100%

Hapo anaongezeka na tendwa aliyepewa cheo kwa fadhila ni walewale ambao hawataki kukubali kwamba wananchi wamechoka na ccm
 
Shigela, nape, mwandosya, nchimbi nk woote wanasema cdm wanaua watu! Kweli hamna aliyenusurika ccm! Wote akil 100% -100%
Mwandosya hivi aliugua nini au anaugua nini hadi sasa? alikuwa na kasi ya Urais wamemtenda kwa maradhi ambayo amepoteza sifa za kuwa Rais lakini bado anatetea CCM au kwa sababu ya Uwaziri usio na wizara maalum.
 
Back
Top Bottom