PROOF: Video ya Lwakatare Imerekodiwa Lini?

Jina la clip linaoneha kuwa ilitumwa kwa whatapp tarehe hiyo....


je walikuwa wapi mua wote mpaka aumie waitoe?
 
Tarehe itatusaidia kujiuliza ni kwa nini walikaa nayo kipindi chote pasipo kuitoa, maana isije ikawa kuna waovu walikuwa nayo na wakawa wanasubiri wakamilishe tukio wakijua tutakaa tunahangaika na akina lwakatare badala ya kuwatafuta wahusika halisi waliomtoboa macho kibanda
 
We have to think outside the box,je tukio kama hili lina umuhim gani na mathara gani katika mstakabari wa taifa? Ni kwanini matukio kama haya(organised crime) yanatokea kila kukicha hapa Tanzania? Je matukio haya si yanatuonyesha jinsi serikali inavyopoteza heshima,mwelekeo na uhalali mbele ya watanzania?
 
Naomba ccm watupostie video ya dr ulimboka na mwangosi ili tuwakubali kuwa wamebobea katika uongo na propaganda, lakini wajue kuwa hata kama watatawala milele mimi basi inatosha, 2015 natumia haki yangu kuwachagua chadema!
 
Kama tarehe ya clip hiyo ni Desemba 28, 2012, Nchemba alidai kuwa nayo Januari Mosi au Pili 2013. Ukitazama sawasawa tarehe hizo utagundua kitu. Ni tofauti ya siku nne au tano tu. CCM imefilisika mikakati ya propaganda kiasi kwamba sasa wanafanya mambo ambayo hawadhani kuwa wapo wenye akili na uelewa zaidi yao. Kwa hiyo walikaa nayo wakisubiri wakati ambao wao walidhani ni muafaka. Kwa hiyo walipomteka Kibanda ndipo wakaanza kusemasema. Akaanza Ridhiwani akikejeli: "Na hii nayo mtasema ni RAMA?" Kina Nape naye akapokea kijiti na kuliendeleza.

Wakaandaa mazingira ya kutaka kuwafanya Watanzania wababaike. Wakaanza kuhusisha tukio la kutekwa Kibanda na Mbowe na kisha Chadema. Kwa kuwa walikuwa wamejiandaa, ndipo ghafla Bukoba Boy akazuka Machi 13, akafungua akaunti na siku hiyo hiyo akatumbukiza clip hiyo. Punde tu habari zikasambaa kwa kuwa walikuwa wamejiandaa. Na haraka sana polisi, ambayo iliwahi kusema haifanyi kazi kwa mitandao ya kijamii, sasa ikala matapishi yake. Ikaanza kufanya kazi kwa mitandao ya kijamii. CCM Wamefilisika. Watafute njia nyingine ya kuwadanganya Watanzania.
 
Inaweza kuonekana kuwa ni "EVIDENCE" ila inawezekana kuwa imewekwa kimakusudi.

Sasa nimeamini wewe ndo ulioweka ile clip! Umeibuka na ID mpya kujaribu kufukia makorongo! Funguka ulikusudia nini kuiacha na mapungufu mengi vile?
 
i dont trust even a dead body, from today onwards!! ccm are bunch of cowards!

Cacico chuki yako kwa ccm ni dhahiri kabisa....Wanawake wengi wakiwa na fikra za aina hii, nchi inaondoka mikononi mwa mashetani haya ccm, Cacico wahamasishe wamama wengine wengi...keep it up!!!
 
Back
Top Bottom