Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,809
- 6,081
Ulimwengu ili uwepo lazima kuwe na siri ndio maana hata maandiko kadhaa huwa yanatuacha hoi ikiwemo hili la UFOs sawa wao wametutengeneza vipi wao wametokea wapi na kwanini wameshindwa kuweka viumbe sayar zingine?! Na kwanini tuwe na sura nzuri kuliko wao waliotuumba wenye sura mbaya kama vibwngomkuu Da Vinci..hebu tujiulize source ya technolojia tuliyonayo in relation to human brain ya sasa hivi...
Una amini kweli kuwa ni binadamu wa kawaida anaeratibu yote hayo...??
Ukitaka kujua hilo fikiria uwezo wako binafsi ulio nao juu ya difficultness unazokumbana nazo na je uwewahi kujiona kuwa ww una uwezo wa kufanya jambo lolote bila asistance yoyote toka kwa mtu yoyote..??
jinsi utakavyo jievaluate uwezo wako wa kiakiki ndivyo ilivyo hata kwa wengine...
point to note ni kwamba tunaegemea zaidi kusema ni conspirancy laki hebu jiulize wanaoratibu mambo hayo ni akina nani...
Leo hii jaribu kuangalia hata utengenezwaji wa madawa unabaki kuwa ni siri nzito...
Lakini kwann taasisi zinazotengeneza hazipo mavyuoni ambapo ndo elimu zote zinatolea lakini kwann wanaotengeneza wapo nje kabsaa na vyuo au mahala elimu hiyi inapotolewa..??
tusiishie kupuuza lakini uliza akili yako nyuma ya pazia kuna nini..
kwann mambo yanaratibiwa kwa siri...
??
Everything becomes conspiracy if not proven otherwise..but how should we rely on that....
ndo mana kuna principle tunaziishi lakini ndo conspirancy zenyewe hizo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Na waliwezaje kufanikisha kulimiti uhai wa kila kiumbe?!