Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. TAMASHA LA MBINGU KUJAA SIFA (kila mwaka)
3. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
4. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
5. Kusomesha yatima yapata 100
6. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.


NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi.

***Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna apewe ushirikiano kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.



Aliota mapembe na kupanda kiburi.
 
Huduma zilikuwa nzuri, ila, as the lows power, say, "never outshine ur boss" Kibri ilimuingia akajiona Bora kuliko usharika, akatishia mamlaka zilizopo juu, ikabidi wamtulize,
Upuuzi, kama huu,huwezi, kuukuta Roman Catholic, miaka ya 90,alitokea Padre mmoja, father nkwera,akawa na kipawa akiombea watu wanapona, akaamua kujitenga na kanisa,akafungua kanisa lake, maeneo ya river side, watu wakawa wanaenda kuombewa! Na kuchukua maji ya Baraka! Nakumbuka, wazazi kibao walipereka watoto wao waombewe, na kupaka maji, ili wafsulu darasa LA Saba, wengi wakaangukia pua!
Little did they know, kwamba kipindi kile, hakuna shule za kata, nafasi, za, shule zilikuwa chache,serikali ikawa inachukua wanafunzi, kidogo! Halikuwa swala LA kuombewa ili ufaulu, wapo waliofaulu,na wakakosa nafasi vvilevile,
Fast forward Leo, father nkwela, hayupo tena,kanisa lake, lilikufa,
 
Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. TAMASHA LA MBINGU KUJAA SIFA (kila mwaka)
3. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
4. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
5. Kusomesha yatima yapata 100
6. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.


NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi.

***Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna apewe ushirikiano kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.

Apewe cheo cha Nabii wa Lutheran
 
Back
Top Bottom