chinatown
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,232
- 1,107
Naiangalia project ya UDART kwa jicho la tatu naona inakufa. Pamoja na support kubwa ya Serikali bado hawa jamaa (management ) wameshindwa kujiongeza kabisaa.
Imagine if were you unaondolewa washindani wako katika biashara unabaki peke yako halafu unashindwa kufanya huduma unategemea nini?
Wateja ( pamoja na mimi) wanalalamika kukaa muda mrefu vituoni lakini utawala hauna ufumbuzi.
Wametoa namba za customer care hazipokelewi kabisa(nadhani kwenye hili wanamridhisha mheshimiwa kama vile wafanyabiashara wanavyobandika siku ya TRA kuwa yeye analipa kodi while not)
Hawa jamaa hawajui;
1. Muda gani ni peak/rush hours magari yawepo barabarani
2. Madereva kuanza kazi muda tofauti tofauti kutasaidia kumaliza kazi muda tofauti
3. Hawapo systematic katika kuyaondoa magari kwenye main port zao yanaweza yakaongozana magari hadi sita yanayoelekea upande mmoja
4. Overtime/motisha nahisi kwao wanaogopa kufanya.
Nimeona nchi za wengine walioanza kufanya hizi projects kwenye miji yao mikubwa;
1. Magari yanafanya kazi masaa 24/7 ila yanapungua barabarani jinsi muda unavyozidi kuyoyoma na siku za weekends
2. Sio lazima magari yote yaanzie mwanzo kupakia abiria kunakuwa na mawasiliano kati ya head office/port na vituoni kuangalia wingi wa abiria na kutuma gari
3. Dereva anayefanya vizuri mfano kuwahi, attendance, ukarimu/costomer care anakuwa rewarded
Imagine if were you unaondolewa washindani wako katika biashara unabaki peke yako halafu unashindwa kufanya huduma unategemea nini?
Wateja ( pamoja na mimi) wanalalamika kukaa muda mrefu vituoni lakini utawala hauna ufumbuzi.
Wametoa namba za customer care hazipokelewi kabisa(nadhani kwenye hili wanamridhisha mheshimiwa kama vile wafanyabiashara wanavyobandika siku ya TRA kuwa yeye analipa kodi while not)
Hawa jamaa hawajui;
1. Muda gani ni peak/rush hours magari yawepo barabarani
2. Madereva kuanza kazi muda tofauti tofauti kutasaidia kumaliza kazi muda tofauti
3. Hawapo systematic katika kuyaondoa magari kwenye main port zao yanaweza yakaongozana magari hadi sita yanayoelekea upande mmoja
4. Overtime/motisha nahisi kwao wanaogopa kufanya.
Nimeona nchi za wengine walioanza kufanya hizi projects kwenye miji yao mikubwa;
1. Magari yanafanya kazi masaa 24/7 ila yanapungua barabarani jinsi muda unavyozidi kuyoyoma na siku za weekends
2. Sio lazima magari yote yaanzie mwanzo kupakia abiria kunakuwa na mawasiliano kati ya head office/port na vituoni kuangalia wingi wa abiria na kutuma gari
3. Dereva anayefanya vizuri mfano kuwahi, attendance, ukarimu/costomer care anakuwa rewarded