- Thread starter
- #81
Inaonekana hata Cover la Katiba yenyewe hujaiona, potelea mbali maana wengi wa watanzania hawajaiona! Je hujawahi kusikia watu wanadai mgombea binafsi) (Haki ya mtu kuchaguliwa kiongozi bila kupitia vyama? Ukubwa wa mamlaka ya Rais ikiwemo tija ya uteuzi wa wabunge 10 wa viti maalumu! Kuhoji kisheria matokeo yaliyo tangazwa na tume ya uchaguzi? Kazi wa wakuu wa wilaya? nk nk.
Kwenye red nimeshindwa ku-comment kwa sababu hujatoa source wala hujasema walikuwa wanataka nini kibadilishwe ndani ya katiba hii mbofu mbofu! Nakumbuka miaka ile walichoma mabucha ya nguruwe Dar na Mwanza wali vunja mabanda ya nguruwe na kuwauwa huku damu za wanyama hao zikiwarukia kwenye kanzu zao lakini hawakuzivua wala kuzitupa!
Usitake kuhusisha hitaji la katiba mpya na masuala ya kidini kama mtu aliefilisika kifikra. Katiba mpya ni HITAJI la watanzania wenye kuipenda nchi yao yaani wazarendo wa kweli.
Nimecehka sana, japo umeongea kwa ghadhabu....
Kwahiyo walirukiwa damu siyo? Halafu bado wanasendelea kuzivaa hizo kanzu?
Haki ya nani elimu muhimu........maana wangesoma wasingethubutu kuuwa nguruwe kwa mikono yao!