Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Mchungaji,
Where are we on this? au ndo ukaamua uje na CCJ baada ya changamoto uliyopewa ya jina la ''Kiblurey'' ....PPPT?
NGO si ziko nyingi na mshazigeuza kuwa kampuni za mifukoni hata kuwajibishwa haiwezekani?
Sisi tunataka tuwajibike kwa Wananchi na Wananchi watoe neno na si kujifungia katika vikao maalum au kuunda kamati maalum!
.......Mchungaji, husemi neno re. swali langu hapo juu?