Programmers tujadili hapa

Changamoto kubwa ni kufikiri kujifunza programming ni sawa na kujifunza programming language.Hivi ni vitu viwili tofauti vinavyotegemeana.Kujifunza programming ni rahisi zaidi kama mtu ataelewea hio tofauti.Ni muhimu mtu akatambua kwamba usianze kujifunza lugha core kbla ya kuelewa misingi wa programming.

Ukielewa misingi ya programming ni rahisi kuchagua lugha na kuimudu kwa sababu tayari unakuwa unajua misingi ya Programming na eneo ambalo unataka kuzama.

Soa Ushauri Kwa yeyote anayetaka kujifunza aanze na kuelewa msingi ya Programming and software development.Kisha chagua eneo unalotaka kulimudu kisha chagua lugha unayotaka kuimudu.Baada ya hapo unaweza kujifunza lugha nyingine on need to know basis
 
Vp chemistry haipo? ,,,Ningepend uzi list fields za IT na Aim zake,,,

physics + maths ndo main, chemistry i cant say yes or no but with my level of coverage probably NO: itabidi umuulize aliosema chemistry, maybe if you want to deal with hardware professionally i guess it can be applied there but still not sure
 
Changamoto kubwa ni kufikiri kujifunza programming ni sawa na kujifunza programming language.Hivi ni vitu viwili tofauti vinavyotegemeana.Kujifunza programming ni rahisi zaidi kama mtu ataelewea hio tofauti.Ni muhimu mtu akatambua kwamba usianze kujifunza lugha core kbla ya kuelewa misingi wa programming.

Ukielewa misingi ya programming ni rahisi kuchagua lugha na kuimudu kwa sababu tayari unakuwa unajua misingi ya Programming na eneo ambalo unataka kuzama.

Soa Ushauri Kwa yeyote anayetaka kujifunza aanze na kuelewa msingi ya Programming and software development.Kisha chagua eneo unalotaka kulimudu kisha chagua lugha unayotaka kuimudu.Baada ya hapo unaweza kujifunza lugha nyingine on need to know basis

Umeandika kisomi sana mkuu, una point kubwa sana
 
Mimi ni mwanafunzi Wa hii kitu. Solo learner.
Kwa miez sita sasa, ila nafanya taratibu taratibu. Nikipata muda.
Aimed ni kuweza tengeneza Mobile app ya idea yangu,

Nilivyopeleka wazo kwa wataalam wakadai Mill 5.
Nikasema ngoja nisogeze mbele mwaka mmoja ili na mm nipate ujuzi then nitaenda omba ushaur kwa wataalam ili kunalizia au wainalizie.
Nilianza Jifunza Java Via Eclipse. Nikakwama..
So nikarud from Beginning ya web developing.
So far nimeweza Html, Php na css.

Natumia wapserver.
As development tools , ni nzur na zinatoa mwongozo mzur kwa beginners.
Alaf sijaona mtu anataja hizi tools huku mtandaon.
Ila Mm zinanisaidia sana.

Wale wataalam, Naomben mwongozo zaid.

Alaf programing iko interesting sana. Na weng wanaosoma siku moja /mbili na kuacha ni kwasababu wanakosa introduction nzur ya hii kitu.
 
Smartweb umeandika vizur sana ,
Paragraph ya mwisho ndio haswa watu hawaielewi na wakishaanza na kukuta wanachosoma hakitasaidia sana basi wanakata tamaa.
Ni vema mtu akasema anataka nini ili wajuzi wa mambo wamuelekeze aanzie wapi.
 
Mimi ni mwanafunzi Wa hii kitu. Solo learner.
Kwa miez sita sasa, ila nafanya taratibu taratibu. Nikipata muda.
Aimed ni kuweza tengeneza Mobile app ya idea yangu,

Nilivyopeleka wazo kwa wataalam wakadai Mill 5.
Nikasema ngoja nisogeze mbele mwaka mmoja ili na mm nipate ujuzi then nitaenda omba ushaur kwa wataalam ili kunalizia au wainalizie.
Nilianza Jifunza Java Via Eclipse. Nikakwama..
So nikarud from Beginning ya web developing.
So far nimeweza Html, Php na css.

Natumia wapserver.
As development tools , ni nzur na zinatoa mwongozo mzur kwa beginners.
Alaf sijaona mtu anataja hizi tools huku mtandaon.
Ila Mm zinanisaidia sana.

Wale wataalam, Naomben mwongozo zaid.

Alaf programing iko interesting sana. Na weng wanaosoma siku moja /mbili na kuacha ni kwasababu wanakosa introduction nzur ya hii kitu.

Wewe kinachokukwamisha hujapata mwongozo mzuri, hii inawasumbua wengi sana maana utajikuta unasoma hiki mara kile, hapa mentor anakuwa na nafasi yake sana
 
Wewe kinachokukwamisha hujapata mwongozo mzuri, hii inawasumbua wengi sana maana utajikuta unasoma hiki mara kile, hapa mentor anakuwa na nafasi yake sana

Mm nishajua nataka nini na nisome nini kukipata. Nishatengeneza website moja. Ingawa sio nzuri ila atleast nimejaribu.

Next Challenge ni hiyo website kuiweka kama Mobile app.
 
Mimi ni mwanafunzi Wa hii kitu. Solo learner.
Kwa miez sita sasa, ila nafanya taratibu taratibu. Nikipata muda.
Aimed ni kuweza tengeneza Mobile app ya idea yangu,

Nilivyopeleka wazo kwa wataalam wakadai Mill 5.
Nikasema ngoja nisogeze mbele mwaka mmoja ili na mm nipate ujuzi then nitaenda omba ushaur kwa wataalam ili kunalizia au wainalizie.
Nilianza Jifunza Java Via Eclipse. Nikakwama..
So nikarud from Beginning ya web developing.
So far nimeweza Html, Php na css.

Natumia wapserver.
As development tools , ni nzur na zinatoa mwongozo mzur kwa beginners.
Alaf sijaona mtu anataja hizi tools huku mtandaon.
Ila Mm zinanisaidia sana.

Wale wataalam, Naomben mwongozo zaid.

Alaf programing iko interesting sana. Na weng wanaosoma siku moja /mbili na kuacha ni kwasababu wanakosa introduction nzur ya hii kitu.
Na mimi Nina wazo kama lako,programmers wanatuambia bei ndefu sana ,so I have decided to learn it mwenyewe ili niidevelop mwenyewe...hivi app kama kupatana wanatumia language ganii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi Nina wazo kama lako,programmers wanatuambia bei ndefu sana ,so I have decided to learn it mwenyewe ili niidevelop mwenyewe...hivi app kama kupatana wanatumia language ganii

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile wametengeneza kwa kutumia Software inayoitwa OS Class ambayo hutumika kwa ajili ya kudevelop classified ads websites, ile ni PHP
 
Na mimi Nina wazo kama lako,programmers wanatuambia bei ndefu sana ,so I have decided to learn it mwenyewe ili niidevelop mwenyewe...hivi app kama kupatana wanatumia language ganii

Sent using Jamii Forums mobile app

Kila la kheri. Ila app kama kupatana ni rahisi zaid kuitengeneza . Kuna Clone app na source code za aina yake nyingi tu mtandaon.
Hustle kidogo then Tafuta source code na utengeneze unachohitaj kuanzia hapo.
 
Developers wengi TZ hawana Ideas. na wakiletewa Idea na mtu wanataka kupiga hela nyingi, badala ya kuiwezesha app itokeee kwanza na awe na share.

Who know..
inaweza ikafeli au inaweza kufaulu.
Je ikifaulu si utakuwa mbali na
Ikifeli utajifunza ujasiriamali zaidi.
 
Developers wengi TZ hawana Ideas. na wakiletewa Idea na mtu wanataka kupiga hela nyingi, badala ya kuiwezesha app itokeee kwanza na awe na share.

Who know..
inaweza ikafeli au inaweza kufaulu.
Je ikifaulu si utakuwa mbali na
Ikifeli utajifunza ujasiriamali zaidi.
Hapo ni makubaliano yenu tu, kumbuka Programming profession ambayo kwa sisi wengine ndio tunategemea kumudu gharama za maisha ya kila siku, so usiwe na ''stereo type' kwamba hawana idea, unakua unakosea
 
Sijawahi maana wazungu wametupiga gap kubwa sana kwenye haya mavitu kiasi kwamba wewe unajifunza java script wao wako kwenye machine learning na Artificial Intelligence
 
Sijawahi maana wazungu wametupiga gap kubwa sana kwenye haya mavitu kiasi kwamba wewe unajifunza java script wao wako kwenye machine learning na Artificial Intelligence
Ni kweli, lakini haituzuii na sisi kujifunza na kuiutilize technology kwa kukabiliana na local environment
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom