Program ya kudownload Movies/TV series na Muziki

Program ya kudownload Movies/TV series na Muziki

Mwenda_Pole

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2008
Posts
281
Reaction score
67
Hshima mbele wanajamii..
Naomba kama kuna mtu anafaham program yeyote naweza kutumia ku download movies au TV series na Muziki aniandikie hapa
niitafute.. ni zile za free ndo natafuta. Zamani nilikua natumia frostwire na Limewire lakini kwa sasa zimebadilika sana
na nimeshindwa kabisa kudownload ..
 
Ingawa siyo jukwaa lake,peleka jukwaa la technolgy then Google and download program inayoitwa download manager au tafuta utorrent
 
Mkuu umekosea njia,utorrent install hiyo program then search torrents za movie/music kwenye torrents sites kama
1.Kickasstorrents.com
2.Piratebay.org
3.Extratorrents.com
4.Isohunt.com
5.Btjunkie.org
 
Dah safi wakuu najua amekosea njia ila mmeonyesha uungwana wa kumjibu vizuri. Great.
 
Hiyo ni ya music, kama bado unahitaji na ya movies nijulishe.
 
Kwanza kabisa unatakiwa uinstall Bittorrent software(mfano Vuze, Bittorrent, Limewire etc), mimi napenda kutumia Vuze.

Kama vp unaweza kuzinyonya movies na TV kwa(episodes) kwa kuzidowload bure hapa Torrent Search Engine unachotakiwa kufanya ni kuandika jina la movie unayoitaka hapa na kuclick tu hapo kwenye search(mfano unataka Valley of the wolves Palestine) ukishaandika na kuclick search itakupeleka hapa Kurtlar Vadisi Filistin 2011 DVDRip XviD SMV Torrent Download click mojawapo kati ya hizo(mfano thepratebay) then itakupeleka hapa Kurtlar Vadisi: Filistin (Valley of the Wolves: Palestine) 2011 (download torrent) - TPB baada ya hapa unatakiwa uclick Download this torrent ama Download Torrent,ikimaliza kudownload fungua folder(open folder) then double click hiyo file(Vuze file) uliyodownload,ukisha double click hapo hiyo torrent itaenda moja kwa moja kwenye Bittorrent software(Mfano Vuze, Bitlord, Limewire) ambayo ni maalum kwa ajili ya kudownload torrents za aina yoyote ile(Miziki,movies,images n.k) na kuanza kupakuliwa....

Unaweza kuipata/kuidownload Vuze hapa Vuze: The most powerful bittorrent app on earth. Ila kabla haujainstall Vuze inatakiwa kwanza uinstall JRE(Java Runtime Envvironment) ambayo utaipata hapa Download Java Runtime Environment 1.7.0.2 (32-bit) - FileHippo.com (upande wa kulia juu kuna sehemu imeandikwa ‘Download Latest Version', click hapo)


Hope this will help.

Bala.
 
Kwanza kabisa unatakiwa uinstall Bittorrent software(mfano Vuze, Bittorrent, Limewire etc), mimi napenda kutumia Vuze.

Kama vp unaweza kuzinyonya movies na TV kwa(episodes) kwa kuzidowload bure hapa Torrent Search Engine unachotakiwa kufanya ni kuandika jina la movie unayoitaka hapa na kuclick tu hapo kwenye search(mfano unataka Valley of the wolves Palestine) ukishaandika na kuclick search itakupeleka hapa Kurtlar Vadisi Filistin 2011 DVDRip XviD SMV Torrent Download click mojawapo kati ya hizo(mfano thepratebay) then itakupeleka hapa Kurtlar Vadisi: Filistin (Valley of the Wolves: Palestine) 2011 (download torrent) - TPB baada ya hapa unatakiwa uclick Download this torrent ama Download Torrent, ikimaliza kudownload fungua folder(open folder) then double click hiyo file(Vuze file) uliyodownload,ukisha double click hapo hiyo torrent itaenda moja kwa moja kwenye Bittorrent software(Mfano Vuze, Bitlord, Limewire) ambayo ni maalum kwa ajili ya kudownload torrents za aina yoyote ile(Miziki,movies,images n.k) na kuanza kupakuliwa....

Unaweza kuipata/kuidownload Vuze hapa Vuze: The most powerful bittorrent app on earth. Ila kabla haujainstall Vuze inatakiwa kwanza uinstall JRE(Java Runtime Envvironment) ambayo utaipata hapa Download Java Runtime Environment 1.7.0.2 (32-bit) - FileHippo.com (upande wa kulia juu kuna sehemu imeandikwa ‘Download Latest Version', click hapo)


Hope this will help.

Bala.

Hapo unaweza kudownload torrent yoyote iwe movie,TV Series, Music(Videos na audios), e books, images n.k
 
Nawashukuru sana wakuu kwa maelezo ya kina namna naweza kufanya, ngoja nifuate steps moja bada ya nyingine kisha nitarudi kumwaga fedback... heshima mbele and sorry kwa kupotea njia mara ya kwanza. Tupo pamoja wakuu
 
😛oa

Mkuu nadhani umepata maelezo ya kutosha kama bado unaweza ukasema tutakuongezea maujuzi
 
Nashukuru sana wakuu.. kitu imekubali na nimesha download movie moja tayari... nimetumia approach ya Balantanda.. thanks v much wakuu.. jamiiforums mtandao wa jamii kusaidiana wana jamii..
 
Mi natumia Vuze. Nitafanyaje kuzuia uploads? Nikiangalia kwenye options zake zinanchanganya
 
Hshima mbele wanajamii..
Naomba kama kuna mtu anafaham program yeyote naweza kutumia ku download movies au TV series na Muziki aniandikie hapa
niitafute.. ni zile za free ndo natafuta. Zamani nilikua natumia frostwire na Limewire lakini kwa sasa zimebadilika sana
na nimeshindwa kabisa kudownload ..
Program ya ku-download: Internet Downloading Manager, Free Downloading Manager
Site zenye Apps, Movies, TV Series etc: Fileserve, Filesonic, Rapidsahre, Megaupload, hotfile, etc
 
Back
Top Bottom