Program Officer

Program Officer

Travoo

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
397
Reaction score
483
Habari zenu wan jamvi..

Naomba kujua SOS Children's Village Tanzania wanalipa mshahara kiasi gani kwa nafasi ya PO.

Asanteni
 
Wakati nipo chuo haya mambo tulikua tunadanganyana sana
 
You are not Seriousssssss!!!!!!!
Wewe ndo hauko serious, mi niko kazin unataka nitoke Mara niende Dar katika interview nisiyojua kiwango cha mshahara.Na kwa majibu haya ya 1.2 ama 1.5 ni kidogo kulingana na kile napata nilipo.
 
Wewe ndo hauko serious, mi niko kazin unataka nitoke Mara niende Dar katika interview nisiyojua kiwango cha mshahara.Na kwa majibu haya ya 1.2 ama 1.5 ni kidogo kulingana na kile napata nilipo.
What if hiyo NGO imekuita wewe tu au tuseme wawili tu kwenye hiyo post?
Huoni ushajiharibia?
 
Wewe ndo hauko serious, mi niko kazin unataka nitoke Mara niende Dar katika interview nisiyojua kiwango cha mshahara.Na kwa majibu haya ya 1.2 ama 1.5 ni kidogo kulingana na kile napata nilipo.
Umeitw??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom