Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 18,055
- 25,106
Binadamu wote tuna matatizo ya kupenda sana power; kwa wenzetru waliowahi wakajiwekea misingi ya kudhibiti tabia hiyo wana nafuu kidogo ingawa wote bado wanahangaika kila mmoja ili apate power fulani zaidi ye wengine. Kwetu tatizo ni kubwa kwa sabau mtu anaweza kumfanyia mwenziye lolote ili apate power na hakuna kinachofanyika. Mseveni alifanya hivyo akakaa madarakani miaka 26 sasa na wala hana mpango wa kuyaacha. Kagame akachukua playbook kutoka kwa Mseveni sasa hivi yupo madarakani kwa njia hiyo hiyo na huenda naye hatayaachia, ingawa alianza kama hataki powere na kujipa cheo cha Waziri Mkuu na Minister of defense, alikuwa amejikamatia powere yote mikononi ndiyo maana yule Rais aliyekuwapo aliishia kufungwa tu.
POWER
POWER