Interested Observer
Platinum Member
- Mar 27, 2006
- 4,818
- 7,459
Mmesha nusa harafu ya mavi kama mbwa koko. Mtayafukuzia weee na mtakula patupu hapo! You Devil and haters!Mnazungusha zungusha na kupaka rangi ili ipendeze lakiini hakuna kitu certificate will remain to be certificate tu.
U Dr wa Slaa ni sawa na wa Dr Remmy, Dr Cheni, Nchimbi, Kamala, Nagu nk
Mnazungusha zungusha na kupaka rangi ili ipendeze lakiini hakuna kitu certificate will remain to be certificate tu.
U Dr wa Slaa ni sawa na wa Dr Remmy, Dr Cheni, Nchimbi, Kamala, Nagu nk
Mkuu wangu MTM, watanzania waone hivihivi...huyu jamaa hata kama kapitia hiyo system ya semnari, me sijaelewa from certificate mpaka u doctorate.mmmhKama ni kweli basi ni aibu sana kwa huyu baba!!! Yaani sikuz ote hizi alishindwa kukanusha hadi leo??
I hope atakuja kujisafisha humu la sivyo ni aibu ya mwaka
..kuhusu masuala ya vyeti vyake labda ni vizuri tukajifunza mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. lakini so far mchango wa Slaa ktk medani ya siasa unaonyesha kwamba uwezo anao.
..kwa jinsi anavyojenga hoja bungeni, hata angekuwa na elimu ya 'ngumbaru' bado ningempa nafasi kubwa zaidi.
NB:
..Prof.Mwandosya naye alichukua PhD bila kufanya Masters.
mkuu wangu mtm, watanzania waone hivihivi...huyu jamaa hata kama kapitia hiyo system ya semnari, me sijaelewa from certificate mpaka u doctorate.mmmh
yes hiyo inawezekana kuwa na PHD withoutmasters, na maranyingi wakiona umefanya masters vizuri wanakurusha uandike thesis ya Phd. Mfumo huo ulikuepo sana zamani ila sasa naona umekufa...kuhusu masuala ya vyeti vyake labda ni vizuri tukajifunza mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. lakini so far mchango wa Slaa ktk medani ya siasa unaonyesha kwamba uwezo anao.
..kwa jinsi anavyojenga hoja bungeni, hata angekuwa na elimu ya 'ngumbaru' bado ningempa nafasi kubwa zaidi.
NB:
..Prof.Mwandosya naye alichukua PhD bila kufanya Masters.
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]
Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973
Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969
Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960
EMPLOYMENT HISTORY
Tanzania Society for Blind Managing Director 1992-1998
Tanzania Episcopal Conference Secretary General 1985-1991
Diocese of Mbulu Development Director 1982-1985
Diocese of Mbulu Vicar General 1982-1985
Diocese of Mbulu Development Director 1977-1979
Diocese of Mbulu - Roman Catholic Church Padre 1977-1991
POLITICAL EXPERIENCE
CHADEMA Principal Secretary 2002
CHADEMA Vice Chairman 1998 2002
CHADEMA Member of Parliament (Karatu Constituency) 1995 To date
CHADEMA Member of National Executive Committee 1995 -
Chama Cha Mapinduzi - CCM Secretary Foreign Branch (Rome) 1980 1982
Youth Union -TANU Secretary 1974 1977
TANU Chairman (Kipalapala Branch) 1974 1977
Retrieved on 13/7/2006 - www.parliament.go.tz
Wikipedia said:Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.
It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr., D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws (i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque Juris Doctor).
A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional study and the development and defense of an original dissertation that contributes to the development of canon law after having earned the degree Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.
The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology (S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Catholic theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.
While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms of academic level of study as they are terminal academic degrees.
Members of the Supreme Tribunal of the Apostolic Signatura, Auditors of the Tribunal of the Roman Rota, judicial vicars, ecclesiastical judges, defenders of the bond, and promoters of justice, must possess either a doctorate or license in canon law. Either of the degrees is recommended for those who serve as vicar general or episcopal vicar in a diocese. Candidates for bishop must either possess the doctorate in canon law or the doctorate in sacred theology or be truly expert in one of those fields. Canonical advocates must possess the doctorate or be truly expert.
The Roman Church has the oldest continuously used homogenous legal system in the world. Following the Gregorian Reform's emphasis on canon law, bishops formed cathedral schools to train the clergy in canon law. Consequently, many of the medieval universities of Europe founded faculties of canon law (e.g., Cambridge and Oxford). Since the Protestant Reformation, however, they became limited to those universities which retained Catholic faculties (e.g., Pontifical University of St. Thomas Aquinas (Angelicum), Gregorian University, Catholic University of Louvain). Other Catholic universities with ecclesiastical faculties in canon law were subsequently given the ability to grant the degree (e.g., The Catholic University of America, University of Saint Paul). The University of Santo Tomas in Manila, Philippines, has been awarding the degree since 1734.
Ha ha ha,There is a saying which goes: If you hate others then you haunt yourself both psycological and this affects the brain of the "hater". Theefore please love your friends and neighbours so that you can get longer life! Overall we live only once and too short!
Barubaru,MTM,Semenya,
..search ya wikipedia inatoa mwangaza kidogo kuhusu vyeti vya Dr.Slaa.
..hata sijui kwanini mtoa hoja hakujisumbua kwenda huko kabla ya kuja na hoja yake hapa.
..pia napenda kujua hadhi ya hizi seminari za Kipalapala na Kibosho within Catholic Educational System.