Yeye ni Mwana CCM na wao ndio wenye serikali.Mbunge wa Zamani wa Rungwe, Waziri, na Mkuu wa Chuo cha Sayansi na teknolojia Mbeya Professor Mwandosya Amekua kimya kwa Muda mrefu Leo ameamua kuongea na vyombo vya Habari. Ngoja tutege Masikio ataongea nini?
Stay tuned .........
duh kumbe Membe alizuiwa?Atazuiliwa huyo kama alivyofanyiwa Membe.
Mwandosya busara anayo, kariba ya uongozi anayo pia... Tofaut na uyu jamaa
Wewe busara zako ziko wapi?
CCM ni ile ile na CHADEMA itabaki ile ile. Shida tunataka tunayotaka na si nchi inayotaka.
Dah watu MNA mambo lkn nyie dahKo unataka kusema nape mtto wa ....
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Kukatwa inauma kweri kweri,,,,Mbunge wa Zamani wa Rungwe, Waziri, na Mkuu wa Chuo cha Sayansi na teknolojia Mbeya Professor Mwandosya Amekua kimya kwa Muda mrefu Leo ameamua kuongea na vyombo vya Habari. Ngoja tutege Masikio ataongea nini?
Stay tuned .........
Kwanini atazuiliwa?
Kuna mjumbe kasema asije kuzuiliwa kama membe, sasa na uyu kwanini atazuiliwa?Kwa nini atazuiliwa au kwa nini amezuiliwa?
Kuna mjumbe kasema asije kuzuiliwa kama membe, sasa na uyu kwanini atazuiliwa?
Ai wishi ai kudu bi aigipiiAwe mwangalifu asimkosoe malaika asiyejaribiwa