Hata afya hakuna tena.
Mara ngapi?Lipumba ahamie tu katika ofisi ya msajili
Busara ya kupoteza haki yake ?? Acha ulofa wewe!!Unajua mkimuangalia vizuri profesa utajua kuna kitu anafuta anachofanya sikuelewi
Hivi mbona lipumba hakamatwi akifanya mikutano au mikutano ndio imeruhusiwa
Hili la kumpiga marufuku maalim kuja kufanya siasa bara, kuna jeuri nje ya CUF Lipumba anaringia si bure!
Lipumba ndio anatoa kibali cha kufanya mikutano ya kisiasa?