Professor Kikwete & Waziri Mkuu Pinda wanalipwa kiasi gani na Siemens & Kenya breweries

HNIC

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
1,898
2,195
Hivi yeye na hao wapambe wake na wasaidizi wake wameona ubaya gani kumpa TSHIRT ya TTCL au shirika lolote la umma ambalo linatoa ajira kwa watanzania na lipoa kodi nchi hii?

Lakini msishangae sana kwa sababu waziri mkuu wake kazi yake ni kutangaza kampuni ya pombe ya KENYA!!!

Hawa ndio viongozi wetu ambao kila kukicha wanatuambia tuwe wazalendo na tuipende nchi yetu

Wito kwa jamiiforums, tengenezi TSHIRT nzuri (sio cheap quality kama za dewji) kisha mpelekeeni JF kama kweli anataka kusapoti kampuni changa za hapa nchini.

unnamed%2B(55).jpg


attachment.php
 
.... Viongozi Wetu Ni Viraza Kama Sisi Tulivyo, Hapo Hakuna Viongozi
 
Halafu uliza bei ya T. shirt hiyo ya RAIS, utaambiwa ni Tsh. 100,000/ Ten percent inaanzia IKULU hadi vijijini.
 
HNIC, Watu dhaifu sana nyie. Mnashughulikia mambo/vitu dhaifu sana. Moja ya Watanzania leglege sana nyie.

Kwamba na wewe umeona hoja hiyo yakuwaletea wanaume na watu wenye akili zao kama sisi eeee??

Kuna vitu vya msingi tunapaswa kuvijadili kwa maslahi mapana na endelevu kwa Taifa,wewe unaleta uharo,mipasho na taarabu kama hizi.

Yaani umebaki miaka kama 30 nyuma yetu. Kwa deductions zako hizo,hautofautiani na baadhi ya wanakijiji wenzangu huku ambao ukinunua hata SOLAR POWER wanakunyuka Mzigo. Hayo ni mawazo ya kishamba na ujima.

JIONGEZE!
 
Last edited by a moderator:
The so called wasaidizi wa viongozi wanafanyakazi gani? nchi hiii inakera kila kona ...

hata hawakusoma maandishi ni Tshirt tu wanavaa kaka, kama watz wengine wanavyovaa, hata ukimpa Tshirt imeandikwa stupid president au useless PM wangevaa tu.
 
Raisi wa nchi anapovaa nguo inayopigia debe kampuni ya nje ni aibu kwa taifa,tusilazimishe kuufanya uongo kuwa ukweli,pale amechemka hasa,Alitakiwa avae tishet zinazotangaza japo utalii wa mbuga zetu au hata mlima Kilimanjaro. Usishangae siku moja akiwa amevaa tishet yenye nembo ya MMEA WA BANGI na tulivyo na akili za kinanihii tutamsifu!!!!
hata hawakusoma maandishi ni Tshirt tu wanavaa kaka, kama watz wengine wanavyovaa, hata ukimpa Tshirt imeandikwa stupid president au useless PM wangevaa tu.
 
Raisi wa nchi anapovaa nguo inayopigia debe kampuni ya nje ni aibu kwa taifa,tusilazimishe kuufanya uongo kuwa ukweli,pale amechemka hasa,Alitakiwa avae tishet zinazotangaza japo utalii wa mbuga zetu au hata mlima Kilimanjaro. Usishangae siku moja akiwa amevaa tishet yenye nembo ya MMEA WA BANGI na tulivyo na akili za kinanihii tutamsifu!!!!

Wewe ndo hutaki kujua maisha yanaenda TZ, yule kavaa tu, hata kama inapicha ya bangi nakwambia angevaa tu kama material ya Tshirt ni nzuri, hatuna uelewa huo unaotaka kuuweka hapo juu. Rais gani anatembea kama chinga??? hatuna uelewa huo na urais sio tena nembo ya taifa ni kasha fulani tu.
 
Kikwete alishaweka wazi kuwa ni mnazi wa Real Madrid na alishafika hadi Santiago Bernaneu so sioni ajabu kwake kuvaa jezi ambayo ina nembo ya mdhamini wa timu
 
Back
Top Bottom