Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
hilo linakushangaza? ni kawaida kwa zama hizi braza, ndo maana yanaitwa life style diseases
Mhh kisha aanza kuugua, jamani ugonjwa huu mbaya sna. Mmhhh hata hivyo kavuta sana, toka wakati ule aliposemekana kuupata.
Mhh ugonjwa huu.................ajitahidi kunywa dawa na kufuata masharti............................sukari inatibika/ kupata nafuu