Yaani kama hizo ndo criteria za kuitwa Prof. Emeritus basi pale Mlimani wapo wa kutosha. (i must admit sikujua maana ya Prof. emeritus thinking kuwa in American equivalent of distinguished prof.). Kwa faculty of Law UDSM nawaona wa kutosha: Kanywanywi, Mwaikusa (R.I.P), Fimbo, Costa Ricky Mahalu, Shivji, Yash Pal Ghai, Prof. R.W. James.