Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Nina baba yangu mdogo ni Professor, amestaafu pale UDSM ni Professor alikuwa anafundisha POLITICAL SCIENCE.
Baada ya kustaafu amepewa mkataba wa miaka miwili ambapo anakuwa akifanya kazi kama part time hivyo muda mwingi anakuwa free, hivyo anahitaji kazi ya kumuweka busy.
Endapo unafaham international organization yeyote ile iwe ya kiserikali au isiyo ya kiserikali ambayo wanaweza kumchukua toa suggestion then mimi nitamfahamisha wakuu.
Asanteni
Baada ya kustaafu amepewa mkataba wa miaka miwili ambapo anakuwa akifanya kazi kama part time hivyo muda mwingi anakuwa free, hivyo anahitaji kazi ya kumuweka busy.
Endapo unafaham international organization yeyote ile iwe ya kiserikali au isiyo ya kiserikali ambayo wanaweza kumchukua toa suggestion then mimi nitamfahamisha wakuu.
Asanteni