Professional Video Camera inauzwa. Imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana. Aina ni SONY DSR-PD170 Bei haipungui shs 1,200,000. Sikuweza kuweka picha hapa ila kwa kufuata hiyo link unaweza kujua ni chombo cha aina gani. Extra accessory ambayo siyo sehemu ya packaging ni taa ya umeme ambayo unaweza kuiweka juu ya camera. Kwa kuwasiliana tuma email tajirika@gmail.com. Camera ipo DAr es Salaam