SOCIOLOGISTTZ
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,615
- 929
Kuna tetesi kwamba Profesa Mujinja wa Muhimbili University atagombea Ubunge wa Musoma Mjini kupitia CCM. Marafiki zake wa karibu wamenitonya kuwa alishawishiwa na wasomi kadhaa wa Musoma akiwamo Prof. Muongo. Na zoezi hili la kumshawishi limefanyika kipindi cha mapunziko ya krismasi na mwaka mpya. Katika kushawishiwa huko Profesa Mujinja amesema apatiwe muda wa kufikiri kwanza kama ataendelea na taaluma yake au ataingia siasa, alinidokeza mtonyaji huyo. Haya sasa kama akikubali atapambana na Kamanda Vicent Nyerere wa Chadema.